Nini siri za Baraza la Mawaziri?

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
May 9, 2007
3,832
2,790
Baada ya kupata kichefu chefu kilichosababishwa na mafisadi hadi wengine kuachia ngazi mwenzenu nimebaki na swali moja ambalo jibu lake sijalipata naomba Wana JF nisaidieni. Swali lenyewe ni hili Nini siri ya Baraza la Mawaziri ambapo kila waziri anapoa apa hutamka "...na kamwe sitatoa siri za baraza la mawaziri, ee mwenyezi Mungu nisaidie."
 
Huwa naona ni formalities tuu ila in real sense they dont practise
 
Nami nimekuwa najiuliza kuhusu hizi siri za baraza la mawaziri ni zipi?Huko sirini kuna nini?

Waingereza bado wanatutawala wana mikataba ya siri na nchi hii?

Hizi sheria nyingi za uendeshaji wa nchi pamoja na katiba yetu nyingi zilichukuliwa kwa waingereza ambazo zilikuwa kandamizi.Na nadhani ndo maana hata wanasita kubadili katiba maana ni siri ya baraza la mawaziri.

Pia kuna jingine la Dua ya kuliombea bunge la jamhuri,Huwa wanaomba kwa Mwenyezi Mungu yupi amabaye hana huruma na watu wake?
Nadhani ni yule anayebariki mikataba kama RICHMOND,IPTL n.k.Again, I saw vanity under the sun
 
Back
Top Bottom