abduel paul
Senior Member
- Nov 23, 2010
- 133
- 5
Idadi ndogo ya watu kujitokeza kupiga kura!
kadiri ya siku zinavyo zidi kwenda swala hili limeanza kusahaulika na pengine kuonekana lilikuwa la kawaida, lkn madhara yake ni makubwa, ktk ka uchunguzi kangu nilichofanya mtaani kwangu, na ofisini kwangu niligundua wengi ambao hawakujitokeza kupiga kura wameathirika na mfumo wa upigaji kura, ya kwamba hawana imani tena na KURA YAO MOJA kwani wengi wamekua wakisema hata kama akipiga kura kiongozi anajulikana, na hii ilitokana na either kuachwa kwa taasisi kutoa matokeo ya utafiti na watu kuyaamini (haya ni maoni yangu) au kukosekana kwa imani na tume ya uchaguzi. wewe unafikiria nini?
kadiri ya siku zinavyo zidi kwenda swala hili limeanza kusahaulika na pengine kuonekana lilikuwa la kawaida, lkn madhara yake ni makubwa, ktk ka uchunguzi kangu nilichofanya mtaani kwangu, na ofisini kwangu niligundua wengi ambao hawakujitokeza kupiga kura wameathirika na mfumo wa upigaji kura, ya kwamba hawana imani tena na KURA YAO MOJA kwani wengi wamekua wakisema hata kama akipiga kura kiongozi anajulikana, na hii ilitokana na either kuachwa kwa taasisi kutoa matokeo ya utafiti na watu kuyaamini (haya ni maoni yangu) au kukosekana kwa imani na tume ya uchaguzi. wewe unafikiria nini?