dolson masaki
Member
- Aug 12, 2011
- 38
- 3
Tanzania ni yetu wote kuna ubaya gani Nape kupendekeza kukutana na chadema kwenye issue ambayo ina maslahi kwa Watanzania
wewe nawe ccm adui yako akikukaribisha chakulani akikuwekea sumu?
Tanzania ni yetu wote kuna ubaya gani Nape kupendekeza kukutana na chadema kwenye issue ambayo ina maslahi kwa Watanzania
Hivi mara tumeshasahau kwamba Nape hakwenda Igunga?!!!mbona tunamchukia huyu jamaa kupitiliza wanajamii...kwanini?mi naona kama kweli kaomba hiyo kitu ni jambo zuri kwani kila mtu analia na dowans hapa daily,tuache siasa za maji taka hata kwenye national interest wadau!ndio maana unaona somtimez kwa wenzetu republican anaweza kumuunga mkono democrat kama kuna maslahi ya taifa...
mkuu misimamo yao ni: jk, alisema hawajui dowans, ngerNape anaongea kama nani? nilidhani hili suala la DOWANS is beyond CCM na CHADEMA bali ni issue ya nchi nzima na ni wakati sasa wa Amiri Jeshi mkuu wa Kaya atoe msimamo wa Serikali. Where is JK? Where is Ngeleja? where is the cabinet?
upeo wako wa kufikiri bado mdogo sana