Mnampa theories nyingi mtoa thread...muhimu kuwa na mkwanja,konom za kutosha na usinyonye maziwa mkifika sehem sehem..siku hizi wanapaka cocaine halafu wanaondoka na hilo GX-110 Lako...Lol
Mnampa theories nyingi mtoa thread...muhimu kuwa na mkwanja,konom za kutosha na usinyonye maziwa mkifika sehem sehem..siku hizi wanapaka cocaine halafu wanaondoka na hilo GX-110 Lako...Lol
hahaaaaa, huyu wetu mkuu!,FL1 hiki choo cha kiume, tusepee!!!
Wapwa VIVIAN anaanza uchokozi mwambieni kabisa avae helmet.....Geoff, Nguli, Xpin, FL1, ZD,GeorgeP....mvua za nyuki zikianza asitegemee mbio. hahahahaah
not at all!hiyo raundi na banta inclusive?
hahaha! Wapiganaji tunaangalia mwelekeo, upepo ukichafuja, tunasubiria amri kutoka kwa kamanda then shughuli inaanza.
not at all!
senksi!....
hahaha! Kama yule wa jana alivyogeuka kuwa mrembo ghafla mpaka mpwa fidel akang'ang'ania kupewa contacts. Hahahaha! Biere bana!
halafu umenikumbusha!ngoja ninyanyue mkonge!.........hahahaha! Mpwa ulishambulia kokoto kwa hasira. Mpaka ukamkumbuka mdudu mliyemsahau kwa kinibu! Ukipiga kokoto, taska zinakuwa kama banta!
mnachekesha nyie Fidel ukilewa unacheza faulo eeh binamu?
mkuu, nimekupostia posti hapo, ka vp jioni ntakustua!, aweke mzigo wa maana.halafu umenikumbusha!ngoja ninyanyue mkonge!.........
mkuu, nimekupostia posti hapo, ka vp jioni ntakustua!, aweke mzigo wa maana.
POA POA MWANA!mkuu, nimekupostia posti hapo, ka vp jioni ntakustua!, aweke mzigo wa maana.
Full Option: j'ai un rêve- i have a dream!
.....MWAGA MBOGA NIMWAGE UGALI....
Nilikuwa sijaiona hii!
POA POA MWANA!
tuko pamoja.naanzia breki-pointi kuna jamaa nampa kazi yake pale,then kwa kinibu.
X-PIN KARIBU MPWA
hivi mume wa fl ni ffu/mjeshi?