Nini Nimejifunza kutoka Ze Utamu na RM/RA Saga

Ze Utamu imefungwa eti kwa vile mkuu wa Kaya kaumbuliwa?Hivi kuumbuliwa ni kitendo cha kusingiziwa au ni kuanikwa Hadharani watu wakuone jinsi ulivyo??Kuumbuliwa ni kubambikizwa mambo ambayo kamwe hujawahi fanya ni mwiko kwako, au ni kuweka wazi mambo unayo yafanya mafichoni kwa siri huku hadharani ukijifanya unamzidi hata kadinali Pengo kwa Utawa??? Imefungwa kweli??Ni vipi sisi wanachama wake mashuhuri tusioweza kwenda kulala bila kujivinjari kwenye Tovuti hii ya uchiuchi bado tunaweza kupata habari mototo za Ze Utamu bila shida?Kwani kuna Kuna Ze Utamu ngapi hapa Duniani??
nahisi zitafumuka kama 800 hivi kwa hizi siku mbili tatu......mie namind sana yaani jamaa wajifanya kuona baada ya wazeiya kugonga ikulu....eti na dunia hii wanaifungia website kama ile.....waangalie mambo ya msingi kuna ma kagoda,ma BOt ma Rostam na mijikashfa kibao wanajifanya hawaoni....
 
chakuchekesha sasa, wanadhani wameifunga kabisa lakini picha bado karibu zote zinaonekana google, just type "site:andika website ya utamu hapa" halafu click on images tab....zoooote zipo...kumbukeni mtu ukiweka kitu online ndo imetoka hiyo...
 
Last edited:
vitu ambavyo nimejifunza kutoka kwenye ze utamu ni
1. viongozi wetu ni watu ambao wanajali maslahi yao tu na si vinginevyo, kinachokutokea wewe hakimuhusu mpaka kimpate na yeye
2. bado tuko mbali sana kwenye mapambano na watanzania hatupendani na ni wanafiki baadhi ya watu JF wanafuraia ze utamu kufungwa, huu ndio ulikuwa wakati wa kupandisha mashambulizi dhidi serikali lakini tunatumia muda huu wengine kufuraia na hichi ni kielelezo tosha kwamba mtu akimchafua tu mkulu atasulubishwa vya kutosha na wengine watafuraia.
3. mimi binafsi yangu naona utamu walivyoweka ile picha ya mkulu ni sawa sawa kwa ajili sisi raia wa kawaida hatuna kitu cha kumfanya wakati yeye na wenzake wanachukua chetu. utamu amepeleka mashambulizi pale yanapotakiwa kwenda
4. utamu itarudi tu very soon........

mtu anayegombana na mbaya wako ni rafiki yako na si adui yako

Semilong; Asante sana.

Bado naamini kuwa kumdhalilisha Muungwana si jambo jema kwani ni Mkuu Wetu na pia ni kinyume na maadili na kukosa heshima.

Najiuliza tu kwa nini mambo hayatendeki katika kila nyanja mpaka wakubwa waguswe na jambo hilo? Wananchi wa kawaida ni nani atawasikiliza kwa VITENDO?

Hata mtoto mdogo akinyanyaswa sana na wazazi wake itafika wakati atakimbia nyumbani au ataamua kuwafanyizia maana kilio chake hakuna anayekisiakia.
 
Hiyo Website haipo hewani toka jana Mchana kwa saa za Tanzania,hapa Jamii pakiwa ni baadhi ya vyanzo vya habari ya wanaouendesha mtandao huo...Tusijisifu kwamba mtandao huo umekufa tuzidi kuendelee kutoa ushirikiano ili usirudi tena Hewani....Lakini baadhi ya watu walioulizwa nani anauendesha wanatoa ushirikiano mzuri......kwa taarifa tu watatajana wengi na hatimaye Kinara atashikwa.......Kizuri na kikubwa imejulikana ni wapi picha nyingi zinakuwa Posted...kwa maana hiyo inawezekana Kinara wa mambo hayo yupo Eneo hilo....Tuendelee kufahamishana yaliyo mazuri na yale yote mabaya tushirikiane pia kuyapiga Vita!!

Kikubwa ni kwamba tuwe na heshima na staha katika kuandika mambo humu..tusitumie uhuru huu kupakana matope na kuchafuliana majina...Usijipe faraja kwamba upo peke yako unapoandika hapa,na unaweza kuvurumisha kila namna ya kashfa...kufikiri hivyo tu ni upungufu wa uungwana...Tujenge tabia ya kupendana na kuheshimiana!!Huo ndio utaratibu na utamaduni tuliyouzoea...
Huu ni woga mkuu, kwani wao wanatuheshimu, wangetuibia mchana, wangetuacha tufe na magonjwa, ajali, njaa, elimu duni. wameshatuvunjia heshima siku nyingi sasa wanataka kututisha tutachonga sana wacha magereza yajae.
 
Mwawado;

Ninachofahamu, next day baada ya kumdhalilisha mkuu wa kaya, haikupatikana tena. For sure I know Intelpol na vijana wa ICT Usalama wa Taifa waliplay role kubwa.

Maoni yako mengine nakubaliana nayo with a note kwamba: Je mambo hayatokei nchi hii mpaka tu watu wakubwa waguswe?

Utamu ilikuwa hewani weeks after mkuu kudhalilishwa na ile picha ilikuwapo pale. Tatizo ni kwamba wanaotumia local ISP walikosa access lakini ukiwa nje ya bongo uliendelea kupata access--- So hiyo ya kufungwa sina hakika sana
 
Utamu ilikuwa hewani weeks after mkuu kudhalilishwa na ile picha ilikuwapo pale. Tatizo ni kwamba wanaotumia local ISP walikosa access lakini ukiwa nje ya bongo uliendelea kupata access--- So hiyo ya kufungwa sina hakika sana

Kwa walio nje inawezekana waliendelea kuipata. Lakini waliokuwa Bongo, sidhani. Niliongea na "Vijana na Kijana mmoja wa Kazi" ndiyo aliyenishtua kulikoni Utamu, Next day sikuiona hewani. Natumia VSAT na niko bongo na sikuipata. Je sasa hivi unaipata?
 
Kwa walio nje inawezekana waliendelea kuipata. Lakini waliokuwa Bongo, sidhani. Niliongea na "Vijana na Kijana mmoja wa Kazi" ndiyo aliyenishtua kulikoni Utamu, Next day sikuiona hewani. Natumia VSAT na niko bongo na sikuipata. Je sasa hivi unaipata?
mie nipo Ireland, haipatikani tokea jana jumamosi. kazi ipo
 
The Utamu ilitesa kwa muda mwingi sana hata baada ya lile tukio kubwa. Mimi nilishangaa mambo kama yale ni ya kufanya kwa muda mfupi sana lakini kwetu ilichukua muda sana wakuu. Nilisikitishwa sana.

Hata sasa huenda jamaa ameiondoa mwenyewe.
 
The Utamu ilitesa kwa muda mwingi sana hata baada ya lile tukio kubwa. Mimi nilishangaa mambo kama yale ni ya kufanya kwa muda mfupi sana lakini kwetu ilichukua muda sana wakuu. Nilisikitishwa sana.

Hata sasa huenda jamaa ameiondoa mwenyewe.
Mkuu Kasheshe,

Na wewe mkuu ulikuwa unatafuta nini kule Zeutamu? Kwi kwi kwi!!!

Heri mimi sikufika kule! Nimegundua wapenzi wa Zeutamu hapa wengi kweli kweli.
 
Tusijisifu kwamba mtandao huo umekufa tuzidi kuendelee kutoa ushirikiano ili usirudi tena Hewani
hata kama mtandao ukiwa umekufa wewe utapata faida gani wacha mawazo mgando
usiporudi hewani wewe unapata faida gani....
badala ya kuwaimiza watu kwenye mambo ya maana eti unawaambia washirikiane kusimamisha ze utamu wacha jealous...

hizo picha za zeutamu haziwezi kuondoka uki google unazipata zote
google zeutamu halafu above the search box second left click images
utaziona zote mpaka ya mkulu
 
mi niko confuse picha ya mkuu JK iliwekwa zeutamu anafanya what is not suppose kufanya kama political figure, married man and a father? maana mimi hii zeutamu siangali kwa sana inawezekana nilipitwa.

niambieni nyie lol
 
chakuchekesha sasa, wanadhani wameifunga kabisa lakini picha bado karibu zote zinaonekana google, just type "site:andika website ya utamu hapa" halafu click on images tab....zoooote zipo...kumbukeni mtu ukiweka kitu online ndo imetoka hiyo...

Thanx.......Noted!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom