Saut adv dip in accountancy/procure.. Bado ipo
muhimbili pia
na vyuo /taasisi nyingi wordwide adv inapigwa kama kawaida.....
saut branch ipi ya mwanza au ya songea,mtwara
Inategemeana na fani pili na chuo,tz mfano mzumbe advanced diploma anapiga masters!
Hapana mwenye advance diploma hawezi soma masters mpaka apate poost graduate. Ila ni equivalent sababu zote zinawakilisha cheti kimoja tofauti ni moja inatolwa na college na nyingine na University level