WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 57
madereva wa kibongo wananishangaza kama sio kunisikitisha na matumizi ya taa za hazard wanapoendesha magari yao, utamkuta dereva anasimamisha gari katikati ya barabara anawasha hazard halafu unaona abiria anashuka kutoka kwenye gari kisha dereva anazima taa zake za hazard anaendelea na safari, kwa uelewa wangu mi najua hizo taa zinawashwa wakati gari linapopata hitilafu likiwa katikati ya road ndio ziwashwe kwa ajili ya kumtahadhirisha dereva wa gari linalokuja nyuma au wadau munijuze matumizi zaidi ya ninavyojua.