simple boy
New Member
- Jun 30, 2011
- 2
- 0
https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/juggle.gif leo epic nation ilikuwa mjini mtwara ambapo wamehudhulia wananchi kupita kawaida kuliko hata raisi akija watu huwa hawajai kwa kiasi nilichoshuhudia leo na nia yao kubwa me sijaiona zaidi ya kupoteza muda wa wanachi kwa kuwaangalia wanavyorukaruka sasa wana-jf nisaidieni malengo makubwa kama ni kuongeza idadi katika mtandao wao mbona muda mwingi ni mziki kwa kwenda mbele?