1.Mfumo unao eleweka wa kufadhili wanafunzi katika elimu ya juu.
2.Tume huru ya uchaguzi
3.madaraka ya raisi yapunguzwe
4.baraza la mawaziri liwe na idadi inayo eleweka sio kila raisi na wizara na idadi yake ya mawaziri
5,.........
mmakonde... umeanzisha thread halafu haufuati mtiririko wa namba au ascending order.... speaker ameanza vizuri... please re arrange the ordre of you new constitution amendments
Thanks ,point taken