Wakuu mi cna iman hata kiduchu na huyo mama, i see her as a puppet of ccm and she has proved it!Baada ya Tanzania kumpata spika mwanamke wa kwanza na kuandika historia mpya ya bunge la nchi hii unaweza kusema nini juu ya utendaji wake so far. Kuna matumaini yeyote ya kupata ufanisi wabunge letu kwa kuzingatia jinsi anavyo liendesha bunge mpaka sasa na uwezo wake au matumaini ya ufanisi wa bunge yana fifia.