Unatakiwa Kunywa Maji kulingana Na Uzito wako si Kubugia Maji Tu.. Utakuwa Unakojoa Na Madini ya Mwili Sasa
Mfano Mwenye Uzito wa 60kg Anatakiwa Kunywa Maji lita 2.5 asizidi hapo..
Basi huyo mdogo wako anakunywa kwa siku maji Lita 6 pasipo na kula chakula? Hebu mpeleke hospitali ukampime huyo mdogo wako. Huenda ana Maradhi Tumboni.
Pili, ukiwa na uzito mkubwa kuanzia let say 80-90 ukawa unakunywa lita zaidi ya nne kwa siku, utapata madhara gani kiafya?
Naomba kuelimishwa.
MziziMkavu pita pande hii pia tafadhali
Cc: Fadhili Paulo
Basi huyo mdogo wako anakunywa kwa siku maji Lita 6 pasipo na kula chakula? Hebu mpeleke hospitali ukampime huyo mdogo wako. Huenda ana Maradhi Tumboni.
Alishakwenda hospitali ya mulago Uganda wakamcheki na kumwambia kuwa hana tatizo,na wakamwambia kuwa maji ni kinywaji kisicho na madhara mwilini kabisa
No mkuu hapa ni jukwaa huru na ujue utaalam unazidiana,ndio maana nikaomba kupata ushauri wa ziada.