tbl
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 116
- 41
Habari WanaJF,
nina rafik yangu {wa kike} alikuwa na mpenziwe.kuna siku jamaa alimpigia simu binti akidai eti yupo nyumba ya kilokole kwa hiyo wasiwasiliane kwa njia yoyote asibip asimtumie message wala asimpigie mambo yakawa hivyo.Siku moja jamaa akampigia binti simu, sasa binti akawa ameweka wimbo wa lofa kama caller tune jamaa alipousikia akamwambia bibie "ina maana unanambia mie lofa,!basi mie nawe uhusiano mwisho leo"na kweli wakaachana hivyo.swali langu, inawezekana sababu kweli ilikuwa wimbo tu?
nina rafik yangu {wa kike} alikuwa na mpenziwe.kuna siku jamaa alimpigia simu binti akidai eti yupo nyumba ya kilokole kwa hiyo wasiwasiliane kwa njia yoyote asibip asimtumie message wala asimpigie mambo yakawa hivyo.Siku moja jamaa akampigia binti simu, sasa binti akawa ameweka wimbo wa lofa kama caller tune jamaa alipousikia akamwambia bibie "ina maana unanambia mie lofa,!basi mie nawe uhusiano mwisho leo"na kweli wakaachana hivyo.swali langu, inawezekana sababu kweli ilikuwa wimbo tu?