W Wamnetu Member Apr 29, 2012 11 4 May 7, 2012 #1 Marehemu Issa Matona katika wimbo wake mmoja alinena kama hivi: "Sighilibiwi na rangi, tamu ya chai sukari." Je, alikuwa na maana gani?
Marehemu Issa Matona katika wimbo wake mmoja alinena kama hivi: "Sighilibiwi na rangi, tamu ya chai sukari." Je, alikuwa na maana gani?
Madame B JF-Expert Member Apr 9, 2012 29,948 32,198 May 7, 2012 #2 Ana maana kuwa,hadanganyiki na uzuri wa rangi,kwani hata kama chai ina rangi nzuri,pasi na kuwekwa sukari haitoitwa chai,sawa na sharbt bila sukari.
Ana maana kuwa,hadanganyiki na uzuri wa rangi,kwani hata kama chai ina rangi nzuri,pasi na kuwekwa sukari haitoitwa chai,sawa na sharbt bila sukari.