Nini maana ya SKY OVER?

Kishongo

JF-Expert Member
May 4, 2010
932
64
Tarehe 21 February 2011 majira ya saa tano na robo mchana, nilimsikia Mbunge wa Arusha Mhe Godbless Lema akihojiwa na mwandishi wa habari wa Star TV juu ya kupunguza msongamano wa magari jijini Dar.

Mhe Lema alitoa pendekezo la kujengwa kwa 'Sky-overs'.

Ninahisi mbunge alimaanisha 'Fly-Overs' - au pengine hilo ni neno sahihi?

Kama alikosea, basi mlio karibu naye msaidieni ili aepukane na makosa kama haya.

Haipendezi kuona mbunge anachanganya lugha namna hii mbele ya tv.
 
Hapa kazi ipoooo!! Kama ni kweli Mh. Lema alikosea, though natambua kuwa hakuna binadamu aliye sahihi duniani na kila siku tunatakiwa tuendelee kujifunza zaidi na zaidi lakini tatizo letu watanzania wengi tunapenda kutumia kugha ambazo hatuzijui sawasawa.

Wengi wetu tunapenda kuongea kiingereza wakati hatuna uelewa wa kutosha katika lugha hiyo. Ushauri wa bure....tupende kutumia lugha ambayo tuielewa zaidi ili kufikisha ujumbe barabara.
 
Hapa kazi ipoooo!! Kama ni kweli Mh. Lema alikosea, though natambua kuwa hakuna binadamu aliye sahihi duniani na kila siku tunatakiwa tuendelee kujifunza zaidi na zaidi lakini tatizo letu watanzania wengi tunapenda kutumia **kugha** ambazo hatuzijui sawasawa.

Wengi wetu tunapenda kuongea kiingereza wakati hatuna uelewa wa kutosha katika lugha hiyo. Ushauri wa bure....tupende kutumia lugha ambayo tuielewa zaidi ili kufikisha ujumbe **barabara**.
Hapo kwenye hizo nyota umethibitisha kweli hakuna anaepetia .
 
Hapa kazi ipoooo!! Kama ni kweli Mh. Lema alikosea, though natambua kuwa hakuna binadamu aliye sahihi duniani na kila siku tunatakiwa tuendelee kujifunza zaidi na zaidi lakini tatizo letu watanzania wengi tunapenda kutumia kugha ambazo hatuzijui sawasawa.

Wengi wetu tunapenda kuongea kiingereza wakati hatuna uelewa wa kutosha katika lugha hiyo
. Ushauri wa bure....tupende kutumia lugha ambayo tuielewa zaidi ili kufikisha ujumbe barabara.

Nakubaliana na nyekundu.
Aliona ugumu gani kusema tu: 'barabara za juu'?
Hata hivyo kama anataka mabadiliko, Mhe hajachelewa kurudi shule.
 
ha ha haaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!! kama ww kisw unachapia je mwenzio kingerezaaaaa
 
mimi nadhani mh wetu Lema hajui kuwa inaitwa Fly-over. ukizingatia watanzania huwa tunadakia maneno na hatutaki japo kuwa na dictionary kupitia neno ili kujua hasa linamaana gani.
e.g mtu anasema nita Kudip or nidipu,akimaanisha Ni beep.
kwa kuwa fly overs ni madaraja ya juu,hivyo yeye alikuwa akujua kuwa ni Sky overs.
Mh.Lema nunua Oxford poket dictionary utembee nayo ktk mfuko wako wa suti. mimi huwa ninayo dictionary ofcni,nyumbani.etc its good to have one.waingereza wenyewe wanazo majumbani mwao,afterall kiswahili chenyewe kinatupiga chenga .
 
mimi nadhani mh wetu Lema hajui kuwa inaitwa Fly-over. ukizingatia watanzania huwa tunadakia maneno na hatutaki japo kuwa na dictionary kupitia neno ili kujua hasa linamaana gani.
e.g mtu anasema nita Kudip or nidipu,akimaanisha Ni beep.
kwa kuwa fly overs ni madaraja ya juu,hivyo yeye alikuwa akujua kuwa ni Sky overs.
Mh.Lema nunua Oxford poket dictionary utembee nayo ktk mfuko wako wa suti. mimi huwa ninayo dictionary ofcni,nyumbani.etc its good to have one.waingereza wenyewe wanazo majumbani mwao,afterall kiswahili chenyewe kinatupiga chenga .



fly over.jpg


mkuu NM ..sipati picha unaposema fly over ni madaraja ya juu .... ikimaanisha huko juu kuna mito inayopita ....ha haaa .... ninavyoelewa fly over ni barabara za juu ..suspended roads
 
Back
Top Bottom