Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Tumesikia kwenye vyombo vya habari kuwa mama mmoja huko Kahama amejifungua..........watano. Nimeshindwa kujaza hapo kwa kuwa magazeti mengi yameandika mapacha na gazetio moja limeandika watoto . Mwanzoni mimi nilidhani mapacha linatokana na neno la kiingereza twins yaani two. Je kwa kiswahili chetu, mapacha ni wawili au wengi?
naomba kuwasilisha
naomba kuwasilisha