mhalisi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,181
- 320
ndugu zangu nimekuwa nikiangalia website za vyuo vya nchi za nje hususani vyuo vikuu vya nchini china na nimekuwa nikiona kuna kitu wanakiita major katika program zao za masomo lakini nimekuwa sielewi!
Mfano unakuta kuna chuo kinatoa bachelor of international economy and trade,na hiyo ndio major yenyewe,lakini mwishoni mwa masomo yako chuo kinasema kitakuaward bachelor's degree in economics. Mfano mwengine unakuta chuo kinasema kinatoa bachelor of computer science,ikiwa ndio major lakini mwishoni mwa masomo yako chuo kinasema kitakuaward bachelor of engineering. Ndugu zangu jambo hili linanitatiza,kwasababu inakuwaje kwa mfano mwanafunzi usome bachelor of international economy and trade lakini mwishoni ugraduate bachelor in economics! Ndugu zangu naombeni kueleweshwa vizuri juu ya jambo hili hususani hiki kitu kinachoitwa major,nini maana yake?
Mfano unakuta kuna chuo kinatoa bachelor of international economy and trade,na hiyo ndio major yenyewe,lakini mwishoni mwa masomo yako chuo kinasema kitakuaward bachelor's degree in economics. Mfano mwengine unakuta chuo kinasema kinatoa bachelor of computer science,ikiwa ndio major lakini mwishoni mwa masomo yako chuo kinasema kitakuaward bachelor of engineering. Ndugu zangu jambo hili linanitatiza,kwasababu inakuwaje kwa mfano mwanafunzi usome bachelor of international economy and trade lakini mwishoni ugraduate bachelor in economics! Ndugu zangu naombeni kueleweshwa vizuri juu ya jambo hili hususani hiki kitu kinachoitwa major,nini maana yake?