nini maana ya kupata choo?

fundiaminy

JF-Expert Member
Jun 4, 2009
355
51
dada yangu mdogo umri miaka 6 alikuwa anaugua maradhi ya tumbo na alikuwa hapati kwenda haja kubwa vizuri.basi alipopata afueni,alitembelewa na mjomba na kuulizwa:je,bi mdogo umepata choo? nae bila kusita kajibu:mie sijapata choo,bado natumia kile pale cha kila mtu hapa nyumbani.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom