Kikarara78
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,495
- 901
Habari zenu Great Thinker,
Naomba kujua hasa nini maana ya hii kauli ya Mheshimiwa Sitta aliyoitoa Mbeya kuwa wao waliokuwa kwenye Mkutano, Kongamano wanatumia Akili na siyo tumbo ?? Ana maana kwenye Chama chao cha CCM na Serikali wengine wote wanatumia tumbo kufikiri na kutoa maamuzi ?? Hata Kiongozi wetu wa Nchi nae anatumia tumbo ???? Maana Rais wetu akuwepo Mbeya.
"Nawapa matumaini katika chama chetu kuwa sisi mnaotuona hapa ndio tunaotumia akili siyo tumbo katika kufikiri, hivyo chama chetu kitakwenda vizuri,"aliongeza Sitta.
Tuzidi kuombea Nchi yetu maana Viongozi wetu na kauli zao zinatutatiza sisi Wananchi
Nawakilisha
Source: Mwananchi - Sitta amkaba koo Ngeleja , ATAKA WALIOSABISHA MGAWO WAWAJIBISHWE
Naomba kujua hasa nini maana ya hii kauli ya Mheshimiwa Sitta aliyoitoa Mbeya kuwa wao waliokuwa kwenye Mkutano, Kongamano wanatumia Akili na siyo tumbo ?? Ana maana kwenye Chama chao cha CCM na Serikali wengine wote wanatumia tumbo kufikiri na kutoa maamuzi ?? Hata Kiongozi wetu wa Nchi nae anatumia tumbo ???? Maana Rais wetu akuwepo Mbeya.
"Nawapa matumaini katika chama chetu kuwa sisi mnaotuona hapa ndio tunaotumia akili siyo tumbo katika kufikiri, hivyo chama chetu kitakwenda vizuri,"aliongeza Sitta.
Tuzidi kuombea Nchi yetu maana Viongozi wetu na kauli zao zinatutatiza sisi Wananchi
Nawakilisha
Source: Mwananchi - Sitta amkaba koo Ngeleja , ATAKA WALIOSABISHA MGAWO WAWAJIBISHWE