HII SIO AJABU MAMA P HUko Uholanzi kuna wakulima wa nyanya wanaishi kwenye maflat (magorofa) wanalima nyanya kwenye ndoo kwa siku wakulima hao wavuna kilo nyingi na kuziuza kwenye masupa market kama wewe na rais mlikuwa hamjui sie watu wa kawaida sana tunalijua na wala si maajabu ya dunia kama unafikirisikuwahi kufikiri hata siku moja ndoo zenye udongo kugeuka shamba la nyanya zenye ubora wa juu.
hakwenda kukagua nyanya peke yake alikwenda kwenye mkutano wa uwekezaji lakini zaidi ulikiona kilimo cha nyanya kinacholimwa kwenye makopo/ ndoo?
Hii inaonyesha kwamba hata watu wa kwenye kichanga au udongo usio na rutuba wanaweza kulima kama udongo utachukuliwa sehemu nyingine ya nchi.
hakwenda kukagua nyanya peke yake alikwenda kwenye mkutano wa uwekezaji lakini zaidi ulikiona kilimo cha nyanya kinacholimwa kwenye makopo/ ndoo?
.
sign zimefika 78huu ni ushuuziiii kama umeishiwa hoja kaa pembeni
kwa hapa nchi ilipofikia ni bora tu prezoo ajiuzulu aende zake bagamoyo na demu wake wakacheze kidalimpoo..Asikusumbue kichwa huyo. Kila mtu anajua Mkwerè hamnazo.
1. Mende aangushe kabati
2. Mwanaasha apate division one
3. Kanumba afufuke
labda afe RIZ 1
Mbayu wayuWakuu hali nchini siyo nzuri kwani serikali iko taabani kila eneo yaani kifedha, kiutawala nk. Lakini mkuu yuko brazil anakagua mashamba ya nyanya, yaani ni ajabu haijapata tokea. Kama rais wetu aliahirisha ziara ughaibuni kwa sababu ya kifo cha kanumba anashindwa nini kurudi nyumbani kutatua matatizo yote haya?