Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
..Kwa wale Wataalamu wa Uchumi hebu tusaidieni,
Zipo Taarfa zisizo rasmi, kwamba Serikali ya Tanzania ipo taabani kifedha, Kwamba Ukomo wake wa kukopa umekaribia mwisho.
Sasa endapo itatokea Waziri wa Fedha au Gavana wa Benki Kuu watangaze kwamba Serikali imefilisika, Je ni nini kitatokea?, na nini kitafanyika kunusuru hali hio?
Zipo Taarfa zisizo rasmi, kwamba Serikali ya Tanzania ipo taabani kifedha, Kwamba Ukomo wake wa kukopa umekaribia mwisho.
Sasa endapo itatokea Waziri wa Fedha au Gavana wa Benki Kuu watangaze kwamba Serikali imefilisika, Je ni nini kitatokea?, na nini kitafanyika kunusuru hali hio?