Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Taarifa zinazidi kutiririka juu ya Ufisadi
Imagine.kampuni ya Pan African energy ilijirudishia zaidi ya dola milioni 40 bila eti serikali kujua.kampuni hii imesajiliwa mauritius na visiwa vya jersey.inauza hisa ktk soko la hisa la canada...kwa hili naamini kabisa kuwa kampuni hii ni ya mafisadi nambari wani tanzania..ndo maana nasema kuwa NCHI IMEKUFA.IMEOZA.INANUKA!
Imagine.kampuni ya Pan African energy ilijirudishia zaidi ya dola milioni 40 bila eti serikali kujua.kampuni hii imesajiliwa mauritius na visiwa vya jersey.inauza hisa ktk soko la hisa la canada...kwa hili naamini kabisa kuwa kampuni hii ni ya mafisadi nambari wani tanzania..ndo maana nasema kuwa NCHI IMEKUFA.IMEOZA.INANUKA!