bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,344
- 6,733
Mbona daktari hakutoa sample size aliyochukuwa ni ngapi? Na labda akalinganisha katika sample ya mashoga wa Tanganyika ni asilimia fulani ndio HIV positive na wa Zanzibar ni asilimia fulani.
Haya maelezo nusu nusu ndio yanatupa wasiwasi.
Lete dataaaaaaaa
Haya maelezo nusu nusu ndio yanatupa wasiwasi.
Lete dataaaaaaaa