Nini Kinawafanya vijana kuwa mashoga?

Nyinyi mnaoingiza ushabiki kwenye sensitive issue kama hii mnashangaza kweli, Ukimwi unamaliza nchi baada ya kuhjadili tatizo ni nini tunaingiza ubaguzi.

Tatizo hapa ni ukosefu wa kazi na hakuna kingine kwani vijana badala ya kufanya kazi wanakaa vijiweni muda mrefu sana bila kazi matokeo yake wanaanza tabia za kishoga,
njia sahihi ni kurekebisha sera za serikali kuhusu vija na sio kuwakashifu kwani hata bara kuna pocket za ukimwi zinatisha sana.

Tafuteni data za nyamongo mara, baadhi ya pocket za TANZAM Highway na Visiwani Ukerewe muone ni jinsi gani nchi inateketea wakati nyinyi mnashangilia

Kwa hiyo na wewe ikitokea ukakosa kazi uta jiingiza? Ajira halali zipo mkuu tatizo ni watu wengine wana chagua kazi. Sidhani kama kazi zoooote zime kosekana mpaka mtu ujiingize kwenye ushoga. If that is the excuse you give then unacho sema ni kwamba uvivu ndiyo husababisha wawe mashoga. Kwa nini wakae tu vijiweni? Huko ndipo kazi zinapo patikana? Remember an idol mind is the devil's workshop and God helps those who help themselves.
 
siamini na utafiti huu wa huyo dokta uchwara wa kitanganyika.
sikatai zanzibar kama kuna mashoga lakini kusema ndio sehemu inayoongoza kwa mashoga hapa Tanzania sikweli tena sikweli.
Jamani kuweni wa kweli mbona hamuwi wa kweli kila kitu mnasukumwa na dini najua uyo dokta ansumbuliwa na ukabila na ugalatia nani asiejua kama Dar es salaam na Arusha zina mashoga mara zaidi 1000 kuliko zanzibar jamai acheni upuuzi katika tafiti mnafanya ufisadio mpaka taaluma Mungu awalani kwa hili.TUWENI WA KWELI KWA MASHOGA WATANGANYIKA MNAONGOZA KULIKO WAZNZ.

Hata BBC walishawahi kuwa na kipindi maalumu cha kuwahoji mashoga huko Zanzibar na Mombasa baada ya kungundulika kuwa sehemu hizo ndo zenye mashoga wengi zaidi Afrika Mashariki.
 
siamini na utafiti huu wa huyo dokta uchwara wa kitanganyika.
sikatai zanzibar kama kuna mashoga lakini kusema ndio sehemu inayoongoza kwa mashoga hapa Tanzania sikweli tena sikweli.
Jamani kuweni wa kweli mbona hamuwi wa kweli kila kitu mnasukumwa na dini najua uyo dokta ansumbuliwa na ukabila na ugalatia nani asiejua kama Dar es salaam na Arusha zina mashoga mara zaidi 1000 kuliko zanzibar jamai acheni upuuzi katika tafiti mnafanya ufisadio mpaka taaluma Mungu awalani kwa hili.TUWENI WA KWELI KWA MASHOGA WATANGANYIKA MNAONGOZA KULIKO WAZNZ.

Basi toa wewe utafiti wako upingani na wa huyu daktari. Halafu hapo pekundu na wewe umefanya utafiti? Au? Hebu toa idadi ya mashoga Z'bar kwa utafiti wako wewe na utoe na idadi ya mashoga Arusha na Dar tuone kama ni mara elfu moja kweli.

Ukweli unachoma eh? Pole kaka/dada.
 
Nyinyi mnaoingiza ushabiki kwenye sensitive issue kama hii mnashangaza kweli, Ukimwi unamaliza nchi baada ya kuhjadili tatizo ni nini tunaingiza ubaguzi.

Tatizo hapa ni ukosefu wa kazi na hakuna kingine kwani vijana badala ya kufanya kazi wanakaa vijiweni muda mrefu sana bila kazi matokeo yake wanaanza tabia za kishoga, njia sahihi ni kurekebisha sera za serikali kuhusu vija na sio kuwakashifu kwani hata bara kuna pocket za ukimwi zinatisha sana.

Tafuteni data za nyamongo mara, baadhi ya pocket za TANZAM Highway na Visiwani Ukerewe muone ni jinsi gani nchi inateketea wakati nyinyi mnashangilia
Tatizo siyo ukosefu wa kazi tu. Kuna shida kubwa zaidi ya Kisaikolojia ya hao vijana na pia malezi. Hali ya hewa imechafuka huko Zenj. Lazima wazazi, viongozi wa dini, serikali na jamii kwa ujumla ichukue hatua ya haraka kupambana na hilo tatizo.
 
Kweli ushoga ni tatizo kubwa Z'bar. Inafahamika kwamba kuna viongozi wakubwa pia wanajihusisha na uchafu huu na ndio maana haukemewi huko Visiwani. Wao kwao ni kama utamaduni.


Hahehehe Bwa bwa bwa Ushoga ni utamaduni wa watu wa Zanzibar? Nadhani hujawatendea haki.....umefanya tafiti? Mbona wao wanadai wabara ndo huenda kufanya ushoga huko!
 
siamini na utafiti huu wa huyo dokta uchwara wa kitanganyika.
sikatai zanzibar kama kuna mashoga lakini kusema ndio sehemu inayoongoza kwa mashoga hapa Tanzania sikweli tena sikweli.
Jamani kuweni wa kweli mbona hamuwi wa kweli kila kitu mnasukumwa na dini najua uyo dokta ansumbuliwa na ukabila na ugalatia nani asiejua kama Dar es salaam na Arusha zina mashoga mara zaidi 1000 kuliko zanzibar jamai acheni upuuzi katika tafiti mnafanya ufisadio mpaka taaluma Mungu awalani kwa hili.TUWENI WA KWELI KWA MASHOGA WATANGANYIKA MNAONGOZA KULIKO WAZNZ.


Acha kusukumwa na jazba wewe, hili ni tatizo la kitaifa na kukataa kwamba llipo ni ujinga na inferiority complex.

Nilitegemea uje na sugestion za jinsi ya kutatua tatizo hili Zanzibar na kwingineko Tanzania na siyo kukataa kwamba halipo.
Utafiti umeshaonyesha kuwa tatizo lipo, cha msingi ni kuangalia jinsi gani ya kusaidia hawa watu wa Zanzibar na kwingineko nchine ili kuondokana na tatizo hili.

Hivi wewe kuficha hali halisi na kuiacha isishughulikiwe itakusaidia nini wewe.

Why don't you be sincere at least once? Shame on you!!!!
 
Wanyongwe wote hadi kufa..tatizo mbona litakuwa limekwisha mara moja wala huhitaji kuumiza akili kwa watu wa aina hiyo..ignore them..put to death row finito.
 
Nini kinachosababisha Ukimwi....Thabo Mbeki alishasema ni umaskini. Wanaofanya vitendo vya ubakaji ni akina nani? Wanajulikana na ni waheshimiwa wakishtakiwa na kutiwa gerezani watu wanakuja juu. Jamii inabidi iwachukulie hatua watu hawa polisi na serikali wameshindwa.
 
Wanyongwe wote hadi kufa..tatizo mbona litakuwa limekwisha mara moja wala huhitaji kuumiza akili kwa watu wa aina hiyo..ignore them..put to death row finito.

Acha roho ya uuaji wewe, Inakuaje huthamini uhai wa mtu?
Kuua mtu hakujawahi kutatua tatizo hata siku moja.
 
Mi nadhani ni ule utamaduni wa ki-pwani, wa uvivu...hilo haliitaji degree kuling'amua nenda tanga,bagamoyo,znz,mombasa,pwani, dsm(wenyeji) jamaa wala hawapendi kujishughulisha kiviiiiiiiiiiile....akiwa na kasehemu kake sokoni kakuuza nyanya na vitunguu anaridhika kabisa...sasa huu ugumu wa maisha wa sasa hivi unawapelekea kufanya hayo maovu, huwezi kuwa unapenda maisha mazuri halafu hutaki kutoil...u must work hard to earn alot...utawakuta wanacheza bao kutwa nzima au unawakuta wamekaa tu msikitini mpaka jua linazama. sasa wakitokea mabazazi wenye hela zisizo na matumizi ndo wanaanza kushawishika na kuanza hiyo tabia...ubaya wa yale makitu ukishaanza tu lazima upotelee huko...hata wale wanaopenda kuji-xpress wakishaanza hako kamchezo hawakaachi ndo mana idadi inaenda ikiongezeka kila siku....
 
Basi ukiwaambia ukweli wenyewe waja juu hao! Hawakawii kutuita wa-bara 'vichogo' yaani hata sijui hawa jamaa zetu wanaringia nini hasa. Kanchi kadogo, fukara, hakana mbele wala nyuma ukiwagusa oooh.. Tunavunja muungano hawana hata haya. Ukivunjwa muungano si ndio nchi nzima itageuka kuwa mashoga wa hao wa-oman wanaowategemea. Wanakera hawa!
 
Basi ukiwaambia ukweli wenyewe waja juu hao! Hawakawii kutuita wa-bara 'vichogo' yaani hata sijui hawa jamaa zetu wanaringia nini hasa. Kanchi kadogo, fukara, hakana mbele wala nyuma ukiwagusa oooh.. Tunavunja muungano hawana hata haya. Ukivunjwa muungano si ndio nchi nzima itageuka kuwa mashoga wa hao wa-oman wanaowategemea. Wanakera hawa!


Mbona nyani haoni k.u.n.d.ul.e! Ukweli sote hatuutaki kwani kuitwa machogo ndio machogo kweli au ni utani tu?
 
Mi nadhani ni ule utamaduni wa ki-pwani, wa uvivu...hilo haliitaji degree kuling'amua nenda tanga,bagamoyo,znz,mombasa,pwani, dsm(wenyeji) jamaa wala hawapendi kujishughulisha kiviiiiiiiiiiile....akiwa na kasehemu kake sokoni kakuuza nyanya na vitunguu anaridhika kabisa...sasa huu ugumu wa maisha wa sasa hivi unawapelekea kufanya hayo maovu, huwezi kuwa unapenda maisha mazuri halafu hutaki kutoil...u must work hard to earn alot...utawakuta wanacheza bao kutwa nzima au unawakuta wamekaa tu msikitini mpaka jua linazama. sasa wakitokea mabazazi wenye hela zisizo na matumizi ndo wanaanza kushawishika na kuanza hiyo tabia...ubaya wa yale makitu ukishaanza tu lazima upotelee huko...hata wale wanaopenda kuji-xpress wakishaanza hako kamchezo hawakaachi ndo mana idadi inaenda ikiongezeka kila siku....

Mzee assumption yako si ya kweli. Unaposema vitendo hivyo vinasababishwa na uvivu ungejiuliza hao wanaotowa pesa kwa hao watu wanatoka wapi? Umejumuisha kuwa watu wa pwani ni wavivu kwa maana hiyo wao wote wanafanya vitendo hivyo na suwala linakuja hapo jee wanaume wa hao watu ni kutoka sehemu gani ya Tanzania ambao wao sio wavivu.
 
Basi ukiwaambia ukweli wenyewe waja juu hao! Hawakawii kutuita wa-bara 'vichogo' yaani hata sijui hawa jamaa zetu wanaringia nini hasa. Kanchi kadogo, fukara, hakana mbele wala nyuma ukiwagusa oooh.. Tunavunja muungano hawana hata haya. Ukivunjwa muungano si ndio nchi nzima itageuka kuwa mashoga wa hao wa-oman wanaowategemea. Wanakera hawa!

umeme wanao???? mwezi unamalizikia sasa full giza!
 
Na Nora Damian

KISIWA cha Unguja, kinaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya mashoga wanaoishi na virusi vya ukimwi.

Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam na Dk Subilaga Kasesela-Kaganda wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), alipokuwa akizungumza katika kongamano kuhusu maambukizi ya ukimwi kwa wafanyabiashara ya ngono, mashoga na watumia dawa za kulevya.

Alisema Zanzibar ndio eneo lenye mambo ya ushoga hapa nchini na kwamba asilimia 12 ya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi katika Kisiwa cga Unguja ni wale wanaojishughulisha na mambo hayo.

Alisema baadhi ya sababu zinazochangia kukua kwa tatizo hilo ni vishawishi, wazazi kuwa mbali na watoto wao, yatima wanaokosa malezi mazuri, watoto wa kiume kulelewa na mama kwa kipindi kirefu na mtoto wa kiume kupenda kuvaa mavazi ya kike.

Alisema sababu nyingine zinazochangia tatizo hilo ni mazingira ya shule za bweni, ambazo baadhi yake zina wanafunzi wa kiume pekee, mwanaume kuwa na homoni nyingi za kike na wanaume wengi kukaa sehemu moja kama jeshini na magerezani.

“Na wanawake wanaopenda kufanya ngono ya haja kubwa wanapaswa nao kujua kuwa ina hatari zaidi, kwa maana ya kupata maambukizo kuliko njia ya uke,”alisema Dk Kaganda.

Alisema utafiti uliofanywa mwaka 2007/2008 umeonyesha kuwa asilimia sita ya Watanzania wanaishi na virusi vya ukimwi, wanawake wakiwa ndio waathirika wakubwa wa tatizo hilo.

Dk Kaganda alisema tatizo hilo liko zaidi katika maeneo ya mijini na ligawagusa mno watu wazima na wanawake wenye uwezo wa kufanya ngono na watoto wadogo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa shirika la TAWIF lililoandaa kongamano hilo, Fransisca Matao alisema jamii inachangia kwa kiasi kikubwa watoto wengi kuwa mashoga kufuatia kuwanyanyapaa na kuwatenga.

Imetoka: Gazeti la Mwananchi



Sioni sababu ya kuifanya habari hii kama issue kama wengi wanavyotaka iwe hata kunasibisha sehemu na tabia za watu wa sehemu fulani.

Hii ni habari ya utafiti yenye kuonyesha tatizo katika jamii kama matatizo mengine yote na wala haifanyi kuwa jambo la kutupiana ke jeli.
Ni ukweli usiopingika kuwa vitendo vya kulawiti vimekuwa na chimbuko lake fukweni mwa bahari ya Afrika Mashariki zanzibar ikiwemo lakini gharama ya Umoja imelifanya tendo hili kuhamioa hata Bara na kama utajumuisha Mashoga wa Bara utaona kuwa wao ni wengi sana kuliko Zanzibar. Kilichofanyika katika utafiti huu ni kuangalia sehemu ambayo itawezekana kuwapata mashoga idadi kubwa kulingana na urahisi wa eneo (Ni tabu kufanya utafiti kwa kuchukua eneo kubwa kama bara). Utafiti huu haukusema hao mashoga ni asilimia ngapi katika idadi ya watu wa Zanzibar bali umeangalia idadi ya waathirika wa ukimwi tu.
Sasa tunapolichukulia suwala hili kiujumla na kuanza kuke je liana nafikiri si vyema. Ikiwa tunainasibisha Zanzibar yote na KakaPowa basi itakuwa rahisi kuinasibisha Bara na DadaPowa
 
Mambo ya beach boys hayo , Znz lazima iwe ina mashoga zaidi sababu ya wageni ni wengi na wengi wanakwenda kwenye sex holiday visiwani, watoto wa kiume hawawezisalimika, .Umaiskini na tamaa ni moja ya chanzo kikubwa cha vijana kuingia kwnye mambo hayo .

Hivi hili suala la kusema Wanaume wanakua na hormone nyingi zakike ndio ziapelekea mtu kua shoga ni lin ukweli gani , mbona nime tafuta sehemu zote online hakuna research inasema hivyo?
 
Mambo ya beach boys hayo , Znz lazima iwe ina mashoga zaidi sababu ya wageni ni wengi na wengi wanakwenda kwenye sex holiday visiwani, watoto wa kiume hawawezisalimika, .Umaiskini na tamaa ni moja ya chanzo kikubwa cha vijana kuingia kwnye mambo hayo .

Hivi hili suala la kusema Wanaume wanakua na hormone nyingi zakike ndio ziapelekea mtu kua shoga ni lin ukweli gani , mbona nime tafuta sehemu zote online hakuna research inasema hivyo?
,,,, Hakuna cha HORMONE wala nini,Zenji mijitu mingi misenge,yaani kuna watu unaweza ukawaona na ukaambiwa jamaa anapumuliwa huyu,we utabisha mpaka basi,sio siri huwa najiuliza hivi nimebakia mimi peke angu nini???,juzi moja kuna mshkaji mmoja hivi nilikua najua booonge la mwanaume,eeeh kafumaniwa na mkewe anapumuliwa kwa nyuma,mi sielewi hii inakuaje hii??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom