Nini kinasababisha Matiti ya mwanamke kuanguka?

Jamani matiti kudondoka ni serious,kuna dem mmoja hapa mtaani kwetu alikuwa na matiti ya ukweli (sa 6)..Baada mda akaolewa,alivyorudi tena kutoka kwa mmewe titi halitamaniki (yamedondoka).Ijapokuwa hata hajazaa!mtasemaje ni maumbile..inaonekana huyo jamaa yake anadili sana na kifua
 
Hii topic ya matiti kuanguka inapendwa sana.Baada ya miezi miwili inaibuka tena.Hivi wake zenu matiti yakilala kinapungua nini katika mvuto wake au tendo la ndoa?
 
matiti kuanguka ni hatua ktk ukuaji wa maumbile ya mwanamke, na hutofautiana kati ya mtu na mtu, mwanamke anapokuwa huanza kuota matiti wengine huwa makubwa sana au madogo. zipo sababu nyingi lakini kubwa ya kwanza ni akishika mimba matiti huanza kujiandaa kubeba maziwa napindi amalizapo matiti hayawezi kuwa kama awali, pili huyo mtumwingine bado mdogo lakini matiti yake ni makubwa kimaumbile, lakini pia usipo zaa matiti lazima yalale kutokana na umri
 
Halo, habari yako/zenu? Ngoja nikuelezee moja kwa moja kinachosababisha maziwa ya hawa wenzetu


kulala na ningependa kila member wa mada hii aelewe hili.


1 Hakuna mwanamke hata mmoja aliyeumbwa na maziwa yalolala, ukiachilia mbali mwenye kilema, japo hutofautiana kidogo maumbile kutokana na msichana na msichana.


Kilema kwa mfano, ziwa moja kubwa na lingine dogo na kadhalika.


2 Hakuna ukweli wowote ule kwamba kwasababu ya kunyonyesha sana, basi mwanamke anaweza


kudondosha maziwa.


3 Hakuna ukweli wowote ule kwamba kwa kubonyezwabonyezwa maziwa, basi hushuka. Labda kama


huyo mwanaume huyavutavuta kwanguvu! Na labda niweke wazi kuwa wao wenyewe kwa asilimia


kubwa zaidi hupenda sana na ni wachache sana wasiopenda kufanyiwa hivi.


BAADA YA KUKANUSHA HAYA TUJE KWENYE SABABU SASA (hapa ndo patamu)

Sababu ni hizi:


1. Kwa kuwa nilisema kwamba Mungu mwenyewe hakuumba mwanamke mwenye maziwa-lapa, na kwa kuwa


uumbaji wake ulikuwa ni mzuri tena sana, basi kukawa na m-baya wao(wanawake) mmoja tu ambaye


anawaza uharibifu wakati wote. Siwaleti kwenye dini ila napenda mpambanue nyie wenyewe.


Mungu alisema "nami nimeweka uadui kati ya mwanamke na huyo nyoka. Sasa hii ndo tiketi na


kulala kwa maziwa kulipoanzia:


2. Kwa utafiti nilioufanya ni kwamba, karibu asilimia 75% ya wanawake wote wanaotumia madawa


ya nywele wana maziwa yalolala. Hii ni kwa sababu zile dawa huwa na ingredients ambazo


hupenya kwenye mifupa kupitia fuvu la kichwa. Na kwa kuwa mifupa ni calcium, na maziwa huwa


na kiasi kikubwa cha calcium(maziwa ni sawa na juice ya mifupa), basi kati ya ingredient


hatari katika madawa hayo ni Zebac. Hii hukaa muda mrefu zaidi kwenye mifupa na wakati mama


mjamzito anaendea kujifungua, maziwa huwa tayari yameshashiba ingredient za madawa hayo.


Sasa basi, maziwa huanza kupata uharibifu wa kuharibiwa na kemikali hizo na kufanya maziwa


kushindwa kubeba uzito asilia+ongezeko la maziwa kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya mtoto.




Je, ni kweli? Ndio na ndomana kuna wanawake wenye watoto wengi sana tu na


bado chuchu saa sita! Na kwasababu hadi vitoto vidogo viwapo likizo navyo hupenda kuweka


dawa ndomana hadi hivyo vya darasa la tano na la sita, maziwa yameshuka. Hiyo ni njama ya


shetani kupitia wazungu.


3. Tatizo lingine ni tabia ya wanawake kutelekeza watoto kunyonya kabla a wakati. Ki uumbaji


wa Mungu aliweka muda maalumu wa kuzalishwa kwa maziwa kwenye matiti ya mama (kati ya miezi


6 hivi). Sasa miwanawake ya sikuhizi huona sifa sana kumwachisha mtoto maziwa (eti kurudisha


shape!). Na badala yake sasa maziwa huendelea kuzalishwa kwenye tezi kwa ndani na kufanya


maziwa kujaa zaidi. Kipindi cha miezi sita kikishapita sasa ,tezi za maziwa huacha kuzalisha


maziwa na ndo hapo sasa maziwa yanapoanza kupungua kwenda hali ya awali hubaki yamesinyaa.


4. Sababu nyingine ni kitendo cha ku-abort mimba. Wadada kumbukeni kuwa mwili wa binadamu


huwa unaendeshwa na hormone na kila hormone itakapozidi kuachiliwa mwilina huwa na madhara


yake. Kwa mfano mdogo tu wakati wa ujauzito mama huachilia growth hormone kwa ajili ya


kukuza embryo-fetus au kijusi/kitoto tumboni. Hormones hizo ni:


(a) human chorionic gonadotropin hormone (hCG)-kifupi hu-cotrol mambo yote ya ujauzito
(b) human placental lactogen (hPL)-kutangeneza maziwa ya mama, kujuandaa kunyonyesha.
(c) progesterone-ukuaji wa placenta au kuta za uzazi


Je, ni kweli? Ndio na ndomana hata leo hii wazungu ndio wanaongoza kwa


kwenda kufanya plastic surgering ili kupandisha maziwa tena. Na wao na namba moja kwa


kuachisha watoto wao konyonya.






Nina mengi sana ya kusema ila nisije nikawachosha bwana. Ili We dada uliyelalamika kuwa


kwanini wanaume tunawazingumzia sana fahamu kuwa hakuna mwanaume asiyependa kumjua mwanamke


kiundani. The oposite is true. Wadada mjitunze na mjiheshimu. Kumbukeni kuwa kujipodoa sana


kuliko kawaida sio sifa bali unajiwekea uharibifu juu ya mwili wako mwenyewe na siku unaanza


kulalamika kuwa mpenzi wako hakupendi. Acheni ujinga.














Kama kuna mada yoyote au swali, please let me know. Napenda sana hoja za msingi. Asanteni.
 
Inategemea mara ya kwanza ulimpendea kwa sifa zipi. Kama chuchu sa sita basi we subiri tu....

Wadada mkisikia mkaka anasema anakupenda sababu ya chuchu saa sita basi huyo hakufai!
 
Halo, habari zenu? Ngoja nikuelezeeni moja kwa moja bila kuzunguka kinachosababisha maziwa ya hawa wenzetu


kulala na ningependa kila member wa mada hii aelewe hili.


1 Hakuna mwanamke hata mmoja aliyeumbwa na maziwa yalolala, ukiachilia mbali mwenye kilema


kwa mfano, ziwa moja kubwa na lingine dogo na kadhalika.


2 Hakuna ukweli wowote ule kwamba kwasababu ya kunyonyesha sana basi mwanamke anaweza


kudondosha maziwa.


3 Hakuna ukweli wowote ule kwamba kwa kubonyezwabonyezwa maziwa, basi hushuka. Labda kama


huyo mwanaume huyavutavuta kwanguvu! Na labda niweke wazi kuwa wao wenyewe kwa asilimia


kubwa zaidi hupenda sana na ni wachache sana wasiopenda kufanyiwa hivi.


BAADA YA KUKANUSHA HAYA TUJE KWENYE SABABU SASA (hapa ndo patamu)

Sababu ni hizi:


1. Kwa kuwa nilisema kwamba Mungu mwenyewe hakuumba mwanamke mwenye maziwa-lapa, na kwa kuwa


uumbaji wake ulikuwa ni mzuri tena sana, basi kukawa na m-baya wao(wanawake) mmoja tu ambaye


anawaza uharibifu wakati wote. Siwaleti kwenye dini ila napenda mpambanue nyie wenyewe.


Mungu alisema "nami nimeweka uadui kati ya mwanamke na huyo nyoka. Sasa hii ndo tiketi na


kulala kwa maziwa kulipoanzia:


2. Kwa utafiti nilioufanya ni kwamba, karibu asilimia 75% ya wanawake wote wanaotumia madawa


ya nywele wana maziwa yalolala. Hii ni kwa sababu zile dawa huwa na ingredients ambazo


hupenya kwenye mifupa kupitia fuvu la kichwa. Na kwa kuwa mifupa ni calcium, na maziwa huwa


na kiasi kikubwa cha calcium(maziwa ni sawa na juice ya mifupa), basi kati ya ingredient


hatari katika madawa hayo ni Zebac. Hii hukaa muda mrefu zaidi kwenye mifupa na wakati mama


mjamzito anaendea kujifungua, maziwa huwa tayari yameshashiba ingredient za madawa hayo.


Sasa basi, maziwa huanza kupata uharibifu wa kuharibiwa na kemikali hizo na kufanya maziwa


kushindwa kubeba uzito asilia+ongezeko la maziwa kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya mtoto.




Je, ni kweli? Ndio na ndomana kuna wanawake wenye watoto wengi sana tu na


bado chuchu saa sita! Na kwasababu hadi vitoto vidogo viwapo likizo navyo hupenda kuweka


dawa ndomana hadi hivyo vya darasa la tano na la sita, maziwa yameshuka. Hiyo ni njama ya


shetani kupitia wazungu.


3. Tatizo lingine ni tabia ya wanawake kutelekeza watoto kunyonya kabla a wakati. Ki uumbaji


wa Mungu aliweka muda maalumu wa kuzalishwa kwa maziwa kwenye matiti ya mama (kati ya miezi


6 hivi). Sasa miwanawake ya sikuhizi huona sifa sana kumwachisha mtoto maziwa (eti kurudisha


shape!). Na badala yake sasa maziwa huendelea kuzalishwa kwenye tezi kwa ndani na kufanya


maziwa kujaa zaidi. Kipindi cha miezi sita kikishapita sasa ,tezi za maziwa huacha kuzalisha


maziwa na ndo hapo sasa maziwa yanapoanza kupungua kwenda hali ya awali hubaki yamesinyaa.


4. Sababu nyingine ni kitendo cha ku-abort mimba. Wadada kumbukeni kuwa mwili wa binadamu


huwa unaendeshwa na hormone na kila hormone itakapozidi kuachiliwa mwilina huwa na madhara


yake. Kwa mfano mdogo tu wakati wa ujauzito mama huachilia growth hormone kwa ajili ya


kukuza embryo-fetus au kijusi/kitoto tumboni. Hormones hizo ni:


(a) human chorionic gonadotropin hormone (hCG)-kifupi hu-cotrol mambo yote ya ujauzito
(b) human placental lactogen (hPL)-kutangeneza maziwa ya mama, kujuandaa kunyonyesha.
(c) progesterone-ukuaji wa placenta au kuta za uzazi


Je, ni kweli? Ndio na ndomana hata leo hii wazungu ndio wanaongoza kwa


kwenda kufanya plastic surgering ili kupandisha maziwa tena. Na wao na namba moja kwa


kuachisha watoto wao konyonya.






Nina mengi sana ya kusema ila nisije nikawachosha bwana. Ili We dada uliyelalamika kuwa


kwanini wanaume tunawazingumzia sana fahamu kuwa hakuna mwanaume asiyependa kumjua mwanamke


kiundani. The oposite is true. Wadada mjitunze na mjiheshimu. Kumbukeni kuwa kujipodoa sana


kuliko kawaida sio sifa bali unajiwekea uharibifu juu ya mwili wako mwenyewe na siku unaanza


kulalamika kuwa mpenzi wako hakupendi. Acheni ujinga.














Kama kuna mada yoyote au swali, please let me know. Napenda sana hoja za msingi. Asanteni.
 
Jamni wakaka mnatusakama haya na nyie nn inasababisha kuwa na vibam***:A S clock:

Hakuna anayewasakama ispokuwa nyinyi wenyewe mna matatizo. Kama hiyo ndo picha yako hapo juu tayari unaonekana na matatizo.
Nakusaidie tu kuwa, Hakuna mtu yeyote asiye kumbuka event yoyote ili ambayo aliwahi kuifanya kwa mara ya kwanza labda awe na matatizo ya akili. Mfano: Ni tabia ya wanaume kumpenda mwanamke kwa ajili ya 1st appear ency. Sasa kama alikuona umevaa hizo katani mnazovaaga kichwani, basi siku zinakuja hutovaa hivyo tena na ndipo mnapofanya wanaume waanze kuona kama walikosea kuchagua. Utaachwa tu. Na ndo chanzo cha kuanza kulalamika "siku hizi anipendi, sijui nimemkosea nini?"

So, sio kosa letu kuzungumzia hilo bali ni kawaida yetu kudadisi wasichana kama ilivyo kwenu nyinyi kudadisi wavulanna, hayo maziwa yenu huwa mnayakosea wanyewe! Yatakeni radhi.
 
matiti kuanguka ni hatua ktk ukuaji wa maumbile ya mwanamke, na hutofautiana kati ya mtu na mtu, mwanamke anapokuwa huanza kuota matiti wengine huwa makubwa sana au madogo. zipo sababu nyingi lakini kubwa ya kwanza ni akishika mimba matiti huanza kujiandaa kubeba maziwa napindi amalizapo matiti hayawezi kuwa kama awali, pili huyo mtumwingine bado mdogo lakini matiti yake ni makubwa kimaumbile, lakini pia usipo zaa matiti lazima yalale kutokana na umri


Nikurekebishe kidogo kaka. Baada ya kujifungua huwa yanarudia hali ya awali ila wakikosea masharti tu hutoa ziwa chapati. Japo hutegemea ukubwa wa maumbile. Mfano:
1. Kama mdada ana maumbile makubwa ya maziwa, ni vizuri audhurie viziri kunyonyesha baada ya kujifungua ili ku-balance ongezeko la maziwa na hivyo kuweza kurudia awali.
2. Na kama mdada ana maumbile madogo ya maziwa, basi ana nafasi nzuri ya kunyonyesha baada ya kujifungua ila asidishe kile kipindi cha mtoto kunyonya(kumdekeza) kwani ndipo ambapo uharibifu unaanza.
 
Matiti kuanguka kunatokana na kunyonyesha sana; kuchezewachezewa bila mpango: kutoa mimba: Uwe wa kufahamu hayo!!!!

Mimi nafikiri na umri huchangia; je catholic nuns watu wazima Maziwa yao yamesimama (naomba tusianzishe mada ya kuwa wanamegwa au nini...)?
Ninamjua mdada mmoja in her early fourties, mlokole ambaye si tu hajaolewa lkn pia sijamuona akiwa na BF, Maziwa yake yamechoka kdg.
Cha mwisho ni maumbile (size ya breast) na uchovu wa muscles especially tusipozifanyisha maziezi muscles zinazohold maziwa.
 
kinachoangusha matiti ya kinadada ni gravitional force yaani msichana anapokuwa matiti huwa makubwa hence huongeza uzito n lazima yaende chini according to gravitional force... Hii ndo sababu ya kisayansi mengine ni blah blah
 
Kuna aina kuu 3 za matiti kwa mujibu wa wataalamu wa siha na maumbile ya kike, mi nilipitia kijitabu hicho loong time! Nakumbuka type 1 tu ya manyonyo ambayo huitwa "water melon" anaekumbuka zile 2 atujuze! Ila kulala kwa manyonyo, ukubwa n.k haitokani na kuchezewa wala kunyonyesha,ni maumbile tu. Nawahi bar!
 
kinachoangusha matiti ya kinadada ni gravitional force yaani msichana anapokuwa matiti huwa makubwa hence huongeza uzito n lazima yaende chini according to gravitional force... Hii ndo sababu ya kisayansi mengine ni blah blah

Scientifically correct..Gravity is behind this phenomenon.
 
Back
Top Bottom