Nini kinamsibu William John Malecela?

si vizuri kujadili mambo binafsi ya mtu, Ila kwa sababu anataka uongozi wa wananchi lazima watu wamjadili kabla ya kumkabidhi.. Binafsi nimeingiwa na wasiwasi mkubwa kutokana na mwenendo wake na maadili ya Uongozi. ILA KAMA ASINGEKUWA ANATAKA UONGOZI TENA WA UWAKILISHI nisingekuwa na wasiwasi. maana ndio life style yake. HILI LA MSHAARA WA DOLA 10,000 KWA MWEZI NINA WASIWASI
 
Nimefuatilia kwa karibu mwenendo wa rafiki yetu William John Malecela katika mitandao mbalimbali ya kijamii na kushindwa kutoa hitimisho juu ya nini kinachomsibu kwa sasa. Nilimfahamu William kama msomi mzuri tena wa sayansi ya mambo ya bahari, kijana mwenye maono yanayolingana na ya baba yake mzee John Samwel Malecela ambaye sikuwa na shaka angefuata nyayo za uongozi kutoka kwa baba yake. Ninayoona kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii siamini kama ni mambo yanayofanywa na william niliyemfahamu. William alikuwa New york city anafanya kazi nzuri sana inayompa mshahara si chini ya dola 10,000 kwa mwezi leo hii nakuja kusikia yuko hapa anazunguka tu na kupiga picha na vischana je nini hasa kimemtokea william? maoni yake mbalimbali humu JF yanaashiria ni kama mtu aliyekata tamaa je tufanyeje kumsaidia ndugu yetu huyu ili arudi kwenye hali yake ya kawaida? naongea kwa dhati na asitokee mtu hata mmoja kupinga hoja hii

Mi nafikiri wewe ndo unaitaji msaada zaidi ya William,sababu to take ur precious tym kufuatilia maisha ya mtu hasa katika kipindi hiki ambacho gharama za maisha zimepanda na nchi ina matatizo mengi,i think u should focus on solving tour problems first....William is doing good as far as i know..
 
Mwenye namba ya simu ya Harry Kitillya please........I can bet on my wife jamaa hajawahi kulipa PAYE tangu azaliwe
Mbona akili yako finyu mazee, hiyo fedha alikuwa akilipwa @N.Y. sasa Kitilya na PAYE wanaingiaje hapo?
Unapoteza mke wako kirahisi hivyo?
 
Mtu anaishi US, pesa ameipata US, kodi ilipwe Tanzania ili iweje?.
Diasphora ikishakuwa in place, tutaweza kupata angalau urari wa money transfer kuja home, kodi inakatwa huko huko fedha zinakotoka, msaada kwa Tanzania, utapimwa kwa jumla ya kiasi cha fedha as forex gain na chochote fedha hizo zitakafanyia nchini, zitakatwa 18% VAT kwenye expenditure hivyo serikali itapata kodi.
Mkuu achan nao hao , wengine ni mambumbu wa kila kitu isipokuwa keyboard na kulog-in JF tu!
 
Watu wengi wanafanya vitu kwa kufikiria karibu sana, jamaa ana malengo ya mbali sana, kwanza anatengeneza popularity. then action. tatizo la watu wengi huwa wanaanza na action moja kwa moja na ndio maana mna fail.
Wa kike ama wa kiume wewe?
 
Na ni aibu sana mtu ukiwa na tumbo kubwa halafu unafanya mambo ya kitoto haipendezi kabisa.
 
jamani dah,mtoa mada umeniacha hoi
anyways,binafsi simfaham ila niliaza ona posts zake umu kipindi cha ubunge wa east africa,kweli nilijiuliza "mh!!"nikasema labda kwa sababu simfaham kiivo umu JF.
afu si mtu mzima yule? ama ukubwa wa pua.....
 
Kodi inalipwa kule mtu alipo, kama uko US kodi amelipia huko huko!.

Si kweli, bali inategema kama mtu huyo ana/ametimiza vigezo kama ilivoelezwa katika fungu la 66 na kuendelea katika sheria ya kodi ya mapatao ya Tanzania ya mwaka 2004.
 
Back
Top Bottom