BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
- Thread starter
- #41
sina hakika kama wanandoa wa sasa yaani wanaozaliwa late seventeens na early eighties watakubali tena ujinga huo. ndoa unazozungumzia wewe ni zile wa wakongwe wa miaka ya sitini na sabini ya mwanzoni na kabla ya hapo. Kwa kifupi mama zetu. tatizo lilikua ni kukosa elimu ya kutosha na kudhani kua ukiwa kwenye ndoa huwezi kuondoka bila kupewa talaka. mume anapotea miaka kadhaa, anapata machungu huku aliko halafu anarudi kwa mkewe, na anapokelewa. kama ndoa yako ni ya karibuni, hebu ondoka japo mwezi tu bila taarifa, uone kama utapokelewa. Labda kama mkeo umemtoa kijijini.
Sal, una maana elimu imebadilisha mtazamo wa wanawake?
Last edited by a moderator: