BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
habari zenu wapendwa,
binafsi hili ni swala ambalo nimeliona likitokea ila sijalipatia jibu. Sijui kama lilishajadiliwa humu au la na kamchina kangu hakawezi kusearch.....
Ni hivi inakuwaje kwa wanandoa, hususan mwanaume anatelekeza familia yake miaka kadhaa, hata kumi..... Ila akishafika uzee/utu uzima anarudi kwa mkewe?
Na inaiuwaje mke, mume anaporudi miaka kumi-ishirini baadae unampokea? Na mnaendeleza gurudumu?
Saa nyingine mume akiumwa hoi hoi hurudi kwa mkewe na mke huyu humuuguza mkewe?
Wanaume nini kinawaondosha kwa wake zenu? Na ninu kinawarudisha?
Wanawake mnawaza nini mnapowapokea tena waume zenu? Nini kinawasukuma kuwapokea?
Je hili lina madhara gani kwa watoto? Haiwaadhiri? Huwajenga au huwabomoa?
Natarajia majibu toka kwenu........
binafsi hili ni swala ambalo nimeliona likitokea ila sijalipatia jibu. Sijui kama lilishajadiliwa humu au la na kamchina kangu hakawezi kusearch.....
Ni hivi inakuwaje kwa wanandoa, hususan mwanaume anatelekeza familia yake miaka kadhaa, hata kumi..... Ila akishafika uzee/utu uzima anarudi kwa mkewe?
Na inaiuwaje mke, mume anaporudi miaka kumi-ishirini baadae unampokea? Na mnaendeleza gurudumu?
Saa nyingine mume akiumwa hoi hoi hurudi kwa mkewe na mke huyu humuuguza mkewe?
Wanaume nini kinawaondosha kwa wake zenu? Na ninu kinawarudisha?
Wanawake mnawaza nini mnapowapokea tena waume zenu? Nini kinawasukuma kuwapokea?
Je hili lina madhara gani kwa watoto? Haiwaadhiri? Huwajenga au huwabomoa?
Natarajia majibu toka kwenu........