Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Toooobah s'bukhana!
Hivi The Boss amesha-review infidelity rules 2012? Inabidi invisible atupe fungu aisee!
nani kakuruhusu kuquote posts zangu mkwe?
Toooobah s'bukhana!
Hivi The Boss amesha-review infidelity rules 2012? Inabidi invisible atupe fungu aisee!
King umepiga ikulu,halafu yule mzee wa kichaga wa corona ni rafiki yangu,ngoja ni print post yako nimpelekee pale muhimbili kama hajakufuata na mapanga,mkibosho yule!Kwani bishanga ameshastaafu kazi corrona funeral home? Si anaendesha ile benzi ndefu inapambwaga maua ya zambarau! Unaniingiza mjini eeh!
nipe umbeya mwaya,wa kwako we na nani?
hahahahaaaa haya bana,Katavi pole ndugu yangu na kumpa misifa yote Husn umeula wa chuya!
Hehehe! Husninyo atajitoa jf bana lol.Basi wewe ni miss na model wa jf.
Hehehe! Husninyo atajitoa jf bana lol.
Maneno yako yanafanya nakosa raha...nikilia nani atanifuta machozi ilhali wajua fika honey hayupo karibu yangu?mwache apumue lol inawezekana alifanya makusudi ili akukimbie
mmmmh!
Hi swahiba!
Hehehe! Ongea na mimi vizuri ili nikupelekee aplikesheni leta kwa cookie!Natamani ningekuwa moderator ili niwe nawafutia posts zao.....lol!! BTW, mie sijambo kabisa chipenzi, nimefurahi kukuona! Habari ya wewe??
Utasutwa!ni bwanake......kwani we hujui.....wakitongozana hukuwepo,ulikuwa wapi siku hiyo mpaka Rejao akalazwa ICU amana kwa kihoro?
ila ni......
Ooh thank you very much swahiba wangu wa ukwee! Me loves you too! Kuonyesha msisitizo mwaaaaaaaaaah!hi! Love u swahiba.
Ooh thank you very much swahiba wangu wa ukwee! Me loves you too! Kuonyesha msisitizo mwaaaaaaaaaah!
Hehehe! Haya mapenzi ya ghafla yameanza lini swahiba?? Ooh maskini shemeji yangu uporoto!wenye wivu wajinyonge na big g swahiba. Naomba uniitie katavi. Kuna kitu nataka nimwambie.