Hahaha! Sharobizo??? Watakuwa ndio hao hao!Hahahahaaaaaaa wanaboa sanaaaaa sijui ndo akina Sharobizo
yaani mie nakerwa na kero!!!
Nadhani byshernger, leo tumelala pamoja.
Nna kero sana.
Namba moja wanaitwa 'virgins in a maternity ward'
kutoka kwenye mada kuanza kuleta usaare.
Siwafagiliagi kabisa kipipi!Naunga mkono hoja, hivi vifupisho huwa vinanikera sana.....na bahati mbaya naona vinazidi kuongezeka!!
Nilipiga sana, kila saa naambiwa namba busy.. Nkajichokea zangu!Ulishindwa hata kunipigia simu?
masharobaro wamevamia JFSiwafagiliagi kabisa kipipi!
Hujambo?
Nakerwa na watu wanaodharau wenzao.
Hujambo mrembo?
Nakerwa na watu wanaodharau wenzao.
sijambo handsome boy. Shkamoo.
Umeonae?...masharobaro wamevamia JF
Mh... Makubwa!sijambo handsome boy. Shkamoo.
Khaaa, majina yote yake?Marhaba mtoto mzuri, mrembo, miss, model wa jf.
Nilipiga sana, kila saa naambiwa namba busy.. Nkajichokea zangu!
Sikukumbuka tena kutuma sms, tufanye yameisha na unisamehe!.Hata kwa sms?