Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,786
- 156,908
Taarifa wametoa mara kibao kupitia tv zingineStar times wametufanyia ujinga bila hats kutoa taarifa
Taarifa wametoa mara kibao kupitia tv zingineStar times wametufanyia ujinga bila hats kutoa taarifa
kurasa zao za mtandaoni hawajaweka taarifa sasa ataendaje kuongeleaa mtandao mwngne maana fb na insta wanaambiwa mbona hampo hewan wamekaa kimya hawajibuMbona wametoa taarifa kupitia TV1 na station zingine kuwa kuna tatizo la ufundi?
Labdakurasa zao za mtandaoni hawajaweka taarifa sasa ataendaje kuongeleaa mtandao mwngne maana fb na insta wanaambiwa mbona hampo hewan wamekaa kimya hawajibu
ila hawa wanamadeni sanaa ya kodi na hv mweshimiwa kasema kama unadaiwa ulipe na wao wanaisoma T 2015 JPM
Sasa si ile account yao ya mapesa ilifungiwa na gavamenti ..Wakubwa habari za usiku kuna tatizo gani star TV haionekani ktk Star times?ajuaye atujuze
star tv wana uSODA na TV1 au....Mbona wametoa taarifa kupitia TV1 na station zingine kuwa kuna tatizo la ufundi?
Mbona wametoa taarifa kupitia TV1 na station zingine kuwa kuna tatizo la ufundi?