KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi sielewi labda ni utandawazi inakuwaje mwanamke akiwa na Mpenzi wake kwa shida na raha zote!!Lakini ikifika kwamba mume kipato kimepungua mke uanza mbwembwe na kuanza kumdharau nakuona simali itu??Je nyie shida yenu nikuona pesa haipungui??Nijuzeni!!Au mapenzi ni Pesa??