doctorz
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 916
- 228
Habari za J'Pili wanadamu wenzangu.
Mwanadamu kama mnyama yeyote an mahitaji sawa na wanyama wengine.
Ingawaje mwanadamu anajiona kuwa ni mmiliki wa vyote. Anaviharibu na kuvifuja atakavyo bila ya kujali kuwa akifanya hivyo anajidhuru hata mwenyewe.
Sasa basi....... Ni nini kinachomfanya binadamu awe tofauti na wanyama wengine?!!!!!!!!! Tujijadili hapa leo ili tuutambue uwanadamu wetu.
Mwanadamu kama mnyama yeyote an mahitaji sawa na wanyama wengine.
Ingawaje mwanadamu anajiona kuwa ni mmiliki wa vyote. Anaviharibu na kuvifuja atakavyo bila ya kujali kuwa akifanya hivyo anajidhuru hata mwenyewe.
Sasa basi....... Ni nini kinachomfanya binadamu awe tofauti na wanyama wengine?!!!!!!!!! Tujijadili hapa leo ili tuutambue uwanadamu wetu.