ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
Walianza kwa kasi kweli kwenye internet sasa hivi ni aibu hata kuzungumzia, customer care namba haipatikani, kwenye facebook ukilalamika hawajibu ila ukiwasifia admin anajibu fasta, utasikia asante kwa kuchagua halotel.
Please jamani embu rudisheni ile speed ya zamani au ni hujuma??
Please jamani embu rudisheni ile speed ya zamani au ni hujuma??