Nini kilitokea na nani alizima vita isitokee kati ya TANZANIA na KENYA?

Mh mbona ata mie nshawahi kusikia kua Mombasa ni sehemu ya TANZANIA yakweli haya km inavyosemekana ziwa lote la NYASA ni mali ya malawi ata kuna mgogoro ulitaka kujadiliwa bungeni kua MALAWI wanataka kuchimba mafuta ktk ziwa bila knowlede ya TZ....pliz wanaofahamu watufahamishe

wenyewe watujuze,kumbe mambo ni mengi sana.
 
Mbona kama leo vichwa vyenu viko kivitavita tu? Wewe umeshasikia kweli sauti ya bomu. Oohoo!
 
Mzee Inanambo umenipa majibu hasa yanayoitajika.. Kwanza nimejua chokochoko zilianza miaka ya 1980s pia sisi uwenda ni wachokozi,kwani tulipata wivu baada ya kuachwa kiuchumi na wakenya pia wakenya walinufaika na wale tuliowaita maadui zetu..
Na vita hii ingetokea hali ingekua mbaya mara dufu,kwani ile tu ya kenya ilitugharimu kama dola 500 milioni za kimarekani na yaliyotupata baada ya hapo ni hali ngumu ya maisha
ningependa kujua hasa kauli ya mwl nyerere kuhusu chokochoko hizi kama kweli alikua tiyari kupigana vita hii
...mkuu kiserikali...hakukuwa na chokochoko baina yetu na kenya hata ktk kipindi hicho...lkn kulikuwa na hali ya kutoaminiana...pia nchi zetu zote tatu, zilikuwa ni kama ziko ktk majuto kutokana na kuvunjika e.a.c..kila nchi ni kama ilipoteza kitu ktk uchumi wake, ingawa tanzania ikionekana zaidi kutokana na ukweli kwamba ilikuwa imeji"commit" mno ktk jumuia...lkn pia uongozi uliokuwepo madarakani wakati huo ulikuwa makini sana ktk kuhakikisha mazingira bora kiusalama na jirani zetu...nyerere akihofia zaidi mpaka wetu upande wa malawi, kwa hofu ya banda kutumiwa na makaburu kutuhujumu kijeshi kutokana na ushiriki wetu kuwasaidia wapigania uhuru wa maeneo yote ya africa ya kusini...kitu muhimu...nadhani kk mleta thread umefanya kitu kizuri na cha usomi uliotukuka,kuuliza vitu vyenye utata ktk hadhara ya namna hii..na nadhani sisi sote tutafaidika na kila kitakachochangiwa...god bless u home boy!
 
kwanza heshima kwenu wakubwa na vijana wenzangu,
kuna habari za kihistoria niwewahi kuzisikia lakini sikupata historia hiyo kwa kina na nimeona hapa kuna wenye uelewa mpana wa mambo yetu ya kihistoria hivyo basi nitapata majibu.

Kutokana na vita baridi iliyoanza baada ya vita kuu ya dunia na kushika kasi miaka ya 1960s na 1970s na kuisha kabisa 1991
vita hii ilikua ni kati ya capitalist block under U.S.A na communist block under U.S.S.R.. Vita hii ilisabisha pia nchi masikini kuchagua upande wa kujiunga..
Kutokana na hali hiyo tayari Tanzania ikawa nchi ya ki socialist na kenye kicapitalist.. Lakini nchi nyingi Afrika walipata madhara ya hii vita,kwani nchi hizi zilipigana kwa niaba ya nchi pia na kutengana, kwa mfano socialist block ili support Angola na capitalist wakamsupport Savimbi muasi mwaka 1975 pia ata kipindi cha vita yetu na Uganda socialist walimuunga mkono idd Amini kwani mwl Nyerere alikuwa haeleweki upande wake..

Sasa basi kutokana na hali hii ya kutofautiana kiideology za kufuata kati ya kenya na Tazania ilipelea matatizo na chokochoko zilizotaka kuzaa vita,inasemekana matusi na kejeri za waziwazi vilitokea sana, kwamba hata neno nyang'au lilitokana na chokochoko hizi..
Wakati vita inakaribia kuanza ndipo kenya aliomba ushauri U.S.A na ndipo U.S.A alipoishauri kenya kutopigana vita kwani angeshindwa vita hiyo, kutokana na sababu zakijeshi kwamba ni rahisi kuipiga kenya kutokea Arusha.

Naomba wenye uelewa kuhusu historia hii watueleze sisi vijana kilichoendelea na ukweli ni upi..
Karibu wadau wa JF
the only time i heard something like that was after the war with Iddi Amin na askari weyu wakiwa na morali wa juu wa vita baada ya kumpiga nduli na kukusanya kusanya masalia on the way, hivyo walijua masali masalia zaidi yatapatikana kuelekea mombasa na nairobi, usa ndio ikaishauri kenya kuondoa majeshi mpakani kuonyesha hali ya kutotaka vita.
 
the only time i heard something like that was after the war with Iddi Amin na askari weyu wakiwa na morali wa juu wa vita baada ya kumpiga nduli na kukusanya kusanya masalia on the way, hivyo walijua masali masalia zaidi yatapatikana kuelekea mombasa na nairobi, usa ndio ikaishauri kenya kuondoa majeshi mpakani kuonyesha hali ya kutotaka vita.

alaa kumbe....
 
Back
Top Bottom