Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
kwanza heshima kwenu wakubwa na vijana wenzangu,
kuna habari za kihistoria niwewahi kuzisikia lakini sikupata historia hiyo kwa kina na nimeona hapa kuna wenye uelewa mpana wa mambo yetu ya kihistoria hivyo basi nitapata majibu.
Kutokana na vita baridi iliyoanza baada ya vita kuu ya dunia na kushika kasi miaka ya 1960s na 1970s na kuisha kabisa 1991
vita hii ilikua ni kati ya capitalist block under U.S.A na communist block under U.S.S.R.. Vita hii ilisabisha pia nchi masikini kuchagua upande wa kujiunga..
Kutokana na hali hiyo tayari Tanzania ikawa nchi ya ki socialist na kenye kicapitalist.. Lakini nchi nyingi Afrika walipata madhara ya hii vita,kwani nchi hizi zilipigana kwa niaba ya nchi pia na kutengana, kwa mfano socialist block ili support Angola na capitalist wakamsupport Savimbi muasi mwaka 1975 pia ata kipindi cha vita yetu na Uganda socialist walimuunga mkono idd Amini kwani mwl Nyerere alikuwa haeleweki upande wake..
Sasa basi kutokana na hali hii ya kutofautiana kiideology za kufuata kati ya kenya na Tazania ilipelea matatizo na chokochoko zilizotaka kuzaa vita,inasemekana matusi na kejeri za waziwazi vilitokea sana, kwamba hata neno nyang'au lilitokana na chokochoko hizi..
Wakati vita inakaribia kuanza ndipo kenya aliomba ushauri U.S.A na ndipo U.S.A alipoishauri kenya kutopigana vita kwani angeshindwa vita hiyo, kutokana na sababu zakijeshi kwamba ni rahisi kuipiga kenya kutokea Arusha.
Naomba wenye uelewa kuhusu historia hii watueleze sisi vijana kilichoendelea na ukweli ni upi..
Karibu wadau wa JF
kuna habari za kihistoria niwewahi kuzisikia lakini sikupata historia hiyo kwa kina na nimeona hapa kuna wenye uelewa mpana wa mambo yetu ya kihistoria hivyo basi nitapata majibu.
Kutokana na vita baridi iliyoanza baada ya vita kuu ya dunia na kushika kasi miaka ya 1960s na 1970s na kuisha kabisa 1991
vita hii ilikua ni kati ya capitalist block under U.S.A na communist block under U.S.S.R.. Vita hii ilisabisha pia nchi masikini kuchagua upande wa kujiunga..
Kutokana na hali hiyo tayari Tanzania ikawa nchi ya ki socialist na kenye kicapitalist.. Lakini nchi nyingi Afrika walipata madhara ya hii vita,kwani nchi hizi zilipigana kwa niaba ya nchi pia na kutengana, kwa mfano socialist block ili support Angola na capitalist wakamsupport Savimbi muasi mwaka 1975 pia ata kipindi cha vita yetu na Uganda socialist walimuunga mkono idd Amini kwani mwl Nyerere alikuwa haeleweki upande wake..
Sasa basi kutokana na hali hii ya kutofautiana kiideology za kufuata kati ya kenya na Tazania ilipelea matatizo na chokochoko zilizotaka kuzaa vita,inasemekana matusi na kejeri za waziwazi vilitokea sana, kwamba hata neno nyang'au lilitokana na chokochoko hizi..
Wakati vita inakaribia kuanza ndipo kenya aliomba ushauri U.S.A na ndipo U.S.A alipoishauri kenya kutopigana vita kwani angeshindwa vita hiyo, kutokana na sababu zakijeshi kwamba ni rahisi kuipiga kenya kutokea Arusha.
Naomba wenye uelewa kuhusu historia hii watueleze sisi vijana kilichoendelea na ukweli ni upi..
Karibu wadau wa JF