AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
bahati nzuri vincent nyerere hayuko ccm, na hii ilitokea tu mtu akapayuka na matokeo yake ndio haya
Hio kwa mtazamo wa kuangalia "mantik" naona tuite bahati mbaya.... Angekua yupo CCM akaongea hayo walau it would have held more water. Hata kama kweli alikua wapi siku zote? Mwalimj ana mda gani toka kafariki? Ina maana ilikua haimuumi hadi pale alipoona anaweza itumia kwa advantage ya media na kujipaisha na kuchafua papo hapo?
Alafu Raia usiniambie kua you don't know kuna viongozi wengine wana majina makubwa na wajulikana chama fulani lakini wapo hapo kama chambo....