Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Kwanza ilikuwa hivi:
Hivi kabla haja.......... alikuwa akisema nini? Tutafanya zaidi tuta mambo mambooo......
Mtu hadi unaanguka bado unatoa ahadi za uongo? Tena ukiwa umefunga, OMG!!!!
Kama ilivyo Newton's law of Motion, action hiyo ikaleta Reaction hii hapa chini:
Napenda kile kibwagizo .....Kidumu chama cha Mapinduzi.......kimyaaaaaaaaaaaaa tulieni tulieni!
Last edited by a moderator: