Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
dah kwa kweli primary vitu ambavyo vilikuwa vikinisukuma kwenda shule cha kwaanza kabisa ni kucheza mpira. siku hakuna mpira aka kisambi aka chandimu niikuwa nakosa raha mnoo. cha pili totoz aisee nikiwa std 2 kulikuwa na totoz boooomba mnooo, veronika na lilian kwa kweli walikuwa wakinifanya niamke mapema sana niwahi darasani! na wao walinijua napenda company yao jamani arrrgh. cha tatu ni friendz, kweli huwa nafanikiwa kuwa friendz wenye interest km zangu tunashikamana mpaka watu wanadhani sisi ni ndugu. cha nne ni kaka kipenzi niliyemfuata, huyu alinifundisha mambo mengi saaana alikuwa akiniamsha saa kumi na moja asubuhi tunaoga kumi na mbili kamili tuko barabarani tukielekea class, mungu ailaze roho yake mahala pema peponi ameen