Nini kilikuwa kinakusukuma uende shule?

Unapokua na kukuta watoto wa rika lako wanaenda shule lazma na wewe utamani. Wakati huo, nilikuwa nacheza sana mpira wa miguu na hicho ndicho kilikuwa kinanifanya nisikose shule. Mpira asubuhi kabla ya kwenda mstarini, mpira mapumziko, mpira wakati wa kutoka.
Hapo azima ulikuwa unazichukia sana siku za Jumatatu na alhamisi maana ni siku za usafi na wacheza mpira shuleni wote walikuwa wachafu
 
Ole wako usahau kwenda zamu siku ya kufungua utajibeba
Raha ilikuwa December wachagga wameenda kwao halafu wanatakiwa kuja zamu very close to xmas... si kuwaomba muwaandikie majina wakati wa zamu
 
Nilikuwa naenda shule ili nisikae na mtoto wa dada yangu kwan walikuwa wananilzazimisha kucheza naye au kumwangalia asije akaanguka akiwa wamemlaza wakati mie nilitaka kwenda kitaa kucheza, wakati mtoto mwenyewe alikuwa mdogo hawezi kuongea wala kutembea!
 
Visichana virembo,we acha tuuu.Hasa kakiwa kageni shuleni ni balaa.

Dah believe me pamoja na mambo meeengi lakini hili lilikuwa mojawapo la yaliyokuwa yananifanya niende shule, yaani nikiwaona tu darasani roho yangu inasuuzika

Halafu unachora moyo na mkuki kwanye mkono akikuangalia tu,unamuonyeha.
Game likienda vibaya anakushitaki kwa mwalimu,hapo utalamba fimbo kama mvua
 
Sie kwetu haikuwapo option ya kubaki home, au shule au hospitali basi. hata sijui walifanyaje wale wazee!!

pamoja na hayo nadhani ni mchanganyiko wa mambo mengi, ila mojawapo ni jinsi home palivyokuwa panabore, hakuna watoto (wote wameenda shule) dada yuko bize na redio yake na kazi zake. wakati huo hakukuwa na tv wala games
Yani kukaa home ilikuwa NO NO NO out of question kabisa, alternative ni kwenda hospitali, ambayo bora shule
Pia shule ilikuwa ina raha sana, tulikuwa tunaenda na mipira ya rede, tunafundishana kusuka, kupiga stori nk, lakini kusoma na kufaulu ni one of the least interests kwa wakati ule

nilitaka kusahau, mama alikuwa anashtukiza kucheki tarehe za kwenye madaftari
 
I had no choice..
Shule ilikuwa lazima siku hitaji kusukumwa..
dahhhh bora Shule kuliko kubaki home ndivyo ilivyokuwa...
 
ha ha ha ha
Nakugongea LIKE

ulijua mambo ya moyo primary?

Halafu unachora moyo na mkuki kwanye mkono akikuangalia tu,unamuonyeha.
Game likienda vibaya anakushitaki kwa mwalimu,hapo utalamba fimbo kama mvua
 
mimi sikuwahi kupenda kwenda shule asubuhi. ndani ya mwaka nlikua nawahi namba mara 4 tu
 
Nilikuwa naenda shule ili nisikae na mtoto wa dada yangu kwan walikuwa wananilzazimisha kucheza naye au kumwangalia asije akaanguka akiwa wamemlaza wakati mie nilitaka kwenda kitaa kucheza, wakati mtoto mwenyewe alikuwa mdogo hawezi kuongea wala kutembea!
Hahahahaaa ulikuwa unafundishwa kuwa mama
 
Halafu unachora moyo na mkuki kwanye mkono akikuangalia tu,unamuonyeha.
Game likienda vibaya anakushitaki kwa mwalimu,hapo utalamba fimbo kama mvua
Dah we ulikuwa mkali mi sikufikia huko ila hata akikugeukia tu lazima hiyo ndo ilikuwa stori kwa washkaji siku nzima "Yule demu kaniangalia bhana" halafu unaongeza chumvi "Nikamkonyeza"
 
Sie kwetu haikuwapo option ya kubaki home, au shule au hospitali basi. hata sijui walifanyaje wale wazee!!

pamoja na hayo nadhani ni mchanganyiko wa mambo mengi, ila mojawapo ni jinsi home palivyokuwa panabore, hakuna watoto (wote wameenda shule) dada yuko bize na redio yake na kazi zake. wakati huo hakukuwa na tv wala games
Yani kukaa home ilikuwa NO NO NO out of question kabisa, alternative ni kwenda hospitali, ambayo bora shule
Pia shule ilikuwa ina raha sana, tulikuwa tunaenda na mipira ya rede, tunafundishana kusuka, kupiga stori nk, lakini kusoma na kufaulu ni one of the least interests kwa wakati ule

nilitaka kusahau, mama alikuwa anashtukiza kucheki tarehe za kwenye madaftari
Hahahahaaa hukuwahi kusingizia daftari tumekusanya wakati unalo?
 
ha ha ha ha
Nakugongea LIKE

ulijua mambo ya moyo primary?

Asante mkuu.
je unakumbuka mkiwa mmejipaga asubuhi,unaweka kioo chini alafu unakisukuma na mguu mpaka katikati
ya miguu yake,hapo unaanza kupata video ya bure
 
Dah we ulikuwa mkali mi sikufikia huko ila hata akikugeukia tu lazima hiyo ndo ilikuwa stori kwa washkaji siku nzima "Yule demu kaniangalia bhana" halafu unaongeza chumvi "Nikamkonyeza"
Pia akikuangalia unabusu hewa,hapo unajihisi ni yeye
 
Asante mkuu.
je unakumbuka mkiwa mmejipaga asubuhi,unaweka kioo chini alafu unakisukuma na mguu mpaka katikati
ya miguu yake,hapo unaanza kupata video ya bure
Dah hiyo tulikuwa tunaifanya sana wakati tumemaliza mitihani tunasubiri kufunga shule, ila ilitufanya tukala mkong'oto wa kufa mtu siku moja
 
mimi sikuwahi kupenda kwenda shule asubuhi. ndani ya mwaka nlikua nawahi namba mara 4 tu
Ulikuwa unaamshwa kwenda shule nini? Dah si enzi hizo home hakuna mtu anakuamsha ukichelewa kivyako ila tu hutakiwi kuonekana home siku ya shule na halafu umechelewa nisikilizie kichapo huko shule
 
Hahahahaaa hukuwahi kusingizia daftari tumekusanya wakati unalo?

bahati mbaya alikuwa rafiki wa walimu karibu wote, hivyo kudanganya ilikuwa risk kubwa zaidi,
hayo walifanya kaka zangu, lakini adhabu walizokuwa wanapata pia zilikuwa hamasa kwangu kutokudanganya.
 
Tulikuwa nadhani darasa la tano,kuna jamaa alikuwa hana bahati yakuongea na vidada
alikuwa muoga sana hata kuwakaribia.
Siku moja mchana wanafunzi tumerudi nyumbani kula,yeye alibaki akapaka upupu
kwaenye viti vya vidada wote.Mchana tulipo rudi darasani,Vidada vikaanza kuwashwa na
na kuvua nguo.
Ikaja kujulikana nani kaweka upupu,mwalimu mkuu aka agiza upupu tukaitwa holini
jamaa akavuliwa kaptura akapakwa upupu akijikuna tu fimbo,tokea hapo hakurudi shule tena.
So sad.
 
Back
Top Bottom