Nilivyomuona Shariff Hamad akiyapokea matokeo na kutoa pongezi kwa Shein, ilikua kama alishayajua matokeo muda mrefu tu..... Na ukiiangalia picha hii (toka michuzi blog) Mshindi na mshindwa wakishangilia pamoja imenishangaza sana.sijawahi kuona mshindwa akimsaidia aliyeshinda kushangilia. atleast angekaa kimya akiobserve mwenzake akishangilia.Ni muafaka tu or?
Hapa hakuna jingine ndugu hawa jamaa wameamua kuweka Siasa za maji taka kando wanataka kuijenga Zanzibar mpya, Dr. Shein na Maalim Seif wote siwanasiasa kama hawa wetu wenye maneno mengi utendaji kidogo, hawa jamaa kiukweli ni watendaji sana kuliko mambo ya jukwaani. Nawaonea wivu sana natamani na bara nao wangefanya hivyo miaka ijayo. Kama utashinda uchaguzi lkn zadi ya theluti moja (1/3) hawakutaki, then hii theluthi waliokukataa lazima wawakilishwe na wale waliowakubali kwenye serekali itakayoundwa.
Tangu mwanzo wa makubalia