Kama mjuavyo ndoa za nyakati hizi zimekta tofauti kabisa na kipindi cha wazazi wetu na bibi na babu zetu.Ndoa za enzi hizi zimekua ni kama mbwembwe tu ila watu wengi hawadumu kwenye ndoa zao ,nini tatizo ,naomba michango yenu
halafu wewe utakuwa mwalimu mkuu???anzisha shule ya ndoa
Wadada wapunguze kutembea nusu uchi! alafu pia wanawake wamekuwa wengi ivyo unakuta wanakomalia mpka wenye ndoa! so unakuta mama watoto akisanuka anasepa mazima!
Tatizo ni
1.watu kuingia ndoani bila kujua wanachofuata humo. . .
2.kuingia kwasababu ya vitu ambavyo ni rahisi kuisha (pesa, uzuri wa mwili, uzuri wa sura, fame etc).
3.kuingia kwenye ndoa na mawazo ya kwamba kila siku itakua jumapili. . . hawajiandai na vikwazo.
4.kuingia kwa shinikizo la watu wengine.
5.kuingia kwa hofu ya "kuchelewa" au kukosa kabisa mtu mbeleni.
Watu wakianza kuoana for the right reasons (kupendana na kuhitajiana) labda matatizo yanayohusiana na infidelity (tatizo kubwa linalozaliwa na hayo hapo juu ) yatapungua.
halafu wewe utakuwa mwalimu mkuu???
you are so bright. Nimependa point zako, n t z very tru!
kuna umuhimu sana kuhusiana na hili janga,issue sio kuanzisha shule,walioko humo wengi wao ni watu na elimu zao na ufahamu waohalafu wewe utakuwa mwalimu mkuu???
Mavazi ya wadada yanachangia vipi kuvuruga ndoa?
Tatizo ni
1.watu kuingia ndoani bila kujua wanachofuata humo. . .
2.kuingia kwasababu ya vitu ambavyo ni rahisi kuisha (pesa, uzuri wa mwili, uzuri wa sura, fame etc).
3.kuingia kwenye ndoa na mawazo ya kwamba kila siku itakua jumapili. . . hawajiandai na vikwazo.
4.kuingia kwa shinikizo la watu wengine.
5.kuingia kwa hofu ya "kuchelewa" au kukosa kabisa mtu mbeleni.
Watu wakianza kuoana for the right reasons (kupendana na kuhitajiana) labda matatizo yanayohusiana na infidelity (tatizo kubwa linalozaliwa na hayo hapo juu ) yatapungua.