Mjomba wa taifa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 231
- 161
Tangu kuingia madarakani kwa serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Kikwete kumekuwa na udhaifu mkubwa unaojidhihirisha hadi kufikia baadhi ya wabunge kutamka waziwazi pasipo kupepesa macho wala kumung'unya maneno ndani ya ukumbi wa bunge kuwa Rais ni dhaifu.
Hivi tatizo lipo wapi? kwa Rais? au watendaji wake ndio dhaifu? au wananchi ndio dhaifu?
Ni vyema tuone tumejikwaa wapi ili tusijerudia tena makosa haya.
Mheshimiwa Pinda aliwahi kutamka kuwa Rais Kikwete amekuwa mpole sana, je ni kweli? Nini tofauti ya upole na udhaifu?
Ni fursa kwa wana-JF kuchambua idara/eneo moja baada ya jingine na kutoa ufumbuzi nini kifanyike kunusuru taifa letu japo kwa eneo hata moja kwa kila mmoja.
ikumbukwe kuwa Kanzu ya Ijumaa hufuliwa Alhamis.
Hivi tatizo lipo wapi? kwa Rais? au watendaji wake ndio dhaifu? au wananchi ndio dhaifu?
Ni vyema tuone tumejikwaa wapi ili tusijerudia tena makosa haya.
Mheshimiwa Pinda aliwahi kutamka kuwa Rais Kikwete amekuwa mpole sana, je ni kweli? Nini tofauti ya upole na udhaifu?
Ni fursa kwa wana-JF kuchambua idara/eneo moja baada ya jingine na kutoa ufumbuzi nini kifanyike kunusuru taifa letu japo kwa eneo hata moja kwa kila mmoja.
ikumbukwe kuwa Kanzu ya Ijumaa hufuliwa Alhamis.