Acheni ujinga mada gani hizo.
Nania alikuambia uchangie kama hujaipenda??
Acheni ujinga mada gani hizo.
Asifuye mvuwa imenyeshea jee vipi yalikukuta .unapo lizungumzia wanawake wa TANZANIA pia ubahatike tu tunayashuhudia mengi lakini kwa leo funika kombe mwanaharamu apite ina yumkini kuna mengi huyaoni kwani wanawake wa TANZANIA wa leo sio wa juzi ukiyaona au kusimuliwa yanayotendeka basi ungesema bora ya musa kulikoya firauni hapo namainisha bora hao wamarekani weusi unaowao wewe kuwa ndio wabaya kitabia kuliko mwamke anaiga kwa nguvu zake zote ili mradi tu nae awe kama mamrekani kuna siri kubwa kaka ndani ni vyema uwe huzijuwi
Asifuye mvuwa imenyeshea jee vipi yalikukuta .unapo lizungumzia wanawake wa TANZANIA pia ubahatike tu tunayashuhudia mengi lakini kwa leo funika kombe mwanaharamu apite ina yumkini kuna mengi huyaoni kwani wanawake wa TANZANIA wa leo sio wa juzi ukiyaona au kusimuliwa yanayotendeka basi ungesema bora ya musa kulikoya firauni hapo namainisha bora hao wamarekani weusi unaowao wewe kuwa ndio wabaya kitabia kuliko mwamke anaiga kwa nguvu zake zote ili mradi tu nae awe kama mamrekani kuna siri kubwa kaka ndani ni vyema uwe huzijuwi