Greater thinker
kwa kila mara kumekuwa kukiibuka mara hili mara lile katika vyuo vikuu lakin cha kushangaza katika hili mara nyingi hawa wanafunzi wanao wazazi lakini hata kama sio wazazi ule usemi wetu wa waTanzania wa kuwa mtoto wa mwenzio ni mwanao pia lakini huwa tukifika hapa kila mzazi huonekana akibeba mzigo wake either utasikia mzazi akikupigia simu na akikwambia beba begi alako njoo nyumbni mpka hari itakapo kuwa nzuri ndo urudi chuo swari langu wanafunzi watarudi majumbni mpaka lini ?? Lakin katika hili pia iko wapi nafasi au sauti ya wazazi kama wakemeee wanafunzi au serikari kama ndo inayo husika mwisho wa siku watoto wa masikin hawa watafukuzwa chuo kyenyeji na huu ndo umekuwa utaratibu na umedumu kwa mda sasa
mim siwaungi mkono wanafunzi lakn pia siwalaumu kwani wakati mwingne malalamiko na madai yao ni ya msingi hoja yangu iko wapi nafasi ya wazazi wa hawa watoto au ya wazazi wa kitanzania katika hili
greter thinker hili limekaaje
kwa kila mara kumekuwa kukiibuka mara hili mara lile katika vyuo vikuu lakin cha kushangaza katika hili mara nyingi hawa wanafunzi wanao wazazi lakini hata kama sio wazazi ule usemi wetu wa waTanzania wa kuwa mtoto wa mwenzio ni mwanao pia lakini huwa tukifika hapa kila mzazi huonekana akibeba mzigo wake either utasikia mzazi akikupigia simu na akikwambia beba begi alako njoo nyumbni mpka hari itakapo kuwa nzuri ndo urudi chuo swari langu wanafunzi watarudi majumbni mpaka lini ?? Lakin katika hili pia iko wapi nafasi au sauti ya wazazi kama wakemeee wanafunzi au serikari kama ndo inayo husika mwisho wa siku watoto wa masikin hawa watafukuzwa chuo kyenyeji na huu ndo umekuwa utaratibu na umedumu kwa mda sasa
mim siwaungi mkono wanafunzi lakn pia siwalaumu kwani wakati mwingne malalamiko na madai yao ni ya msingi hoja yangu iko wapi nafasi ya wazazi wa hawa watoto au ya wazazi wa kitanzania katika hili
greter thinker hili limekaaje