Nini husababishwa mwanaume kukosa uzazi?
Mara nyingi mwanaume hukosa uzazi hasa kutokana na:-
Tatizo la kushindwa kutengeneza mbegu (sperms) huzalisha kiwango kidogo sana au hakuna kabisa.
Tatizo la sperms kushindwa kulifikia yai na kufanya fertilization- inawezekana sperms zina shape au structure inayozuia kuweza kulifikia yai.
Wakati mwingine mwanaume anazaliwa na tatizo ambalo huathiri sperms zake na wengine tatizo huanza baadae ktk maisha kutokana na kuugua au injury. (kama vile cystic fibrosis)
Nini huongeza uwezekano wa mwanaume kukosa kizazi?
Ukweli ni kwamba uwingi na ubora wa sperms za mwanaume huweza kuathiriwa sana na afya yake na life style.
Vitu ambavyo huweza kupunguza uwingi na ubora wa sperm ni kama vile
Pombe, madawa (drugs), kuvuta sigara, mionzi (chemotherapy), umri, matatizo ya afya, sumu kutokana na mazingira (lead, pesticides)
Bottom line:
Issue ya kupata mtoto ni issue sensitive mna kwa wanandoa, ni Mungu peke yake anayeweza kuwa na solution kwani pamoja na kuwa na kiwango cha juu sana cha technology bado suala la kupata mtoto limekuwa gumu (infertility).
Kwa Mungu hakuna lisilowezekana
(Mathayo 19:26)
Mara nyingi mwanaume hukosa uzazi hasa kutokana na:-
Tatizo la kushindwa kutengeneza mbegu (sperms) huzalisha kiwango kidogo sana au hakuna kabisa.
Tatizo la sperms kushindwa kulifikia yai na kufanya fertilization- inawezekana sperms zina shape au structure inayozuia kuweza kulifikia yai.
Wakati mwingine mwanaume anazaliwa na tatizo ambalo huathiri sperms zake na wengine tatizo huanza baadae ktk maisha kutokana na kuugua au injury. (kama vile cystic fibrosis)
Nini huongeza uwezekano wa mwanaume kukosa kizazi?
Ukweli ni kwamba uwingi na ubora wa sperms za mwanaume huweza kuathiriwa sana na afya yake na life style.
Vitu ambavyo huweza kupunguza uwingi na ubora wa sperm ni kama vile
Pombe, madawa (drugs), kuvuta sigara, mionzi (chemotherapy), umri, matatizo ya afya, sumu kutokana na mazingira (lead, pesticides)
Bottom line:
Issue ya kupata mtoto ni issue sensitive mna kwa wanandoa, ni Mungu peke yake anayeweza kuwa na solution kwani pamoja na kuwa na kiwango cha juu sana cha technology bado suala la kupata mtoto limekuwa gumu (infertility).
Kwa Mungu hakuna lisilowezekana
(Mathayo 19:26)