Titus
Member
- Jul 28, 2007
- 81
- 2
Poleni na majukumu viongozi na mniwie radhi kama nitakuwa nimekosea title, ila ipo hivi, mara nyingi ninapokuwa nafanya presentation yoyote ile na hasa kama nitakuwa nipo mbele ya watu wanaozidi watano, huwa naishiwa na maneno na niaanza kutetemeka sana, 'confo' lote linashuka na ninasahau kila kitu nilichakiandaa, kama ni ppt inabidi nianze kusoma bila hata ya ufafanuzi, hili ni tatizo kwangu na ninaomba mnifahamishe kama ni tatizo la kiafya/kiakili na ninawezaje kuwa na 'confo' la kawaida, mara nyingi inabidi niwe nimetandika konyagi ili niweze kupresent vizuri, lakini hii naona haifai kiutendaji, naombeni ushauri wenu.