Ibrah,
Nadhani Mzee Es anatuletea hoja hapa tuzijadili kama zilivyoletwa na huyo Tambe..Pia sidhani kama anaziamini maanake navyojua watu wa CCM wakiwa na swala kama hili hawawezi kulitoa hadharani kujajadiliwa.. husubiri hadi Uchaguzi kisha hushusha mashuzi yao! wajinga wengi watashindwa kutumia hekima kupeta pumba. fumba fumbua CCM mshindi yeye.
Maadam Mzee es, katurushia sisi - kazi kwetu!...
Nadhani Mzee Es anatuletea hoja hapa tuzijadili kama zilivyoletwa na huyo Tambe..Pia sidhani kama anaziamini maanake navyojua watu wa CCM wakiwa na swala kama hili hawawezi kulitoa hadharani kujajadiliwa.. husubiri hadi Uchaguzi kisha hushusha mashuzi yao! wajinga wengi watashindwa kutumia hekima kupeta pumba. fumba fumbua CCM mshindi yeye.
Maadam Mzee es, katurushia sisi - kazi kwetu!...