Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Kuna watu wanajifanya wajuaji wa kila kitu humu JF,hii article imetulia haswa na ndio ukweli na uhalisia wa madhara anayoyasema Mashaka.Wakati mwingine inategemea taauluma yako imebase wapi ili uweze kuelewa mambo ya uchumi na fedha kama haya.kwa nini tumponde kwa kingereza chake?wachina,warusi,wajerumani wangapi wanazungumza kiingereza?msiwe na mawazo mgando wa kuelewe wameelewa, waliotoa personal attacks naomba wajifikirie mapungufu yao kwanza.
kweli makala ni mazuri sana sana na viongozi wetu wangejaribu kuyasoma