Nini hasa maana ya utu?

Utu wa shoga jee haupaswi kuheshimiwa? lolz
Loh ! Utu Upi?

Azimio jipya alisema Unaweza kuzaliwa na Utu lakini ukafa Mnyama ! unaweza kuupoteza Utu wako mapema kabisa kutokana na mtindo wa maisha unayoishi. si mitindo yote ya maisha inajenga Utu.... Mitindo mingine ya maisha ni dhihirisho kuwa Utu umekufa Kabisaa ! ! FUU!
 
Loh ! Utu Upi?

Azimio jipya alisema Unaweza kuzaliwa na Utu lakini ukafa Mnyama ! unaweza kuupoteza Utu wako mapema kabisa kutokana na mtindo wa maisha unayoishi. si mitindo yote ya maisha inajenga Utu.... Mitindo mingine ya maisha ni dhihirisho kuwa Utu umekufa Kabisaa ! ! FUU!

Kuoa wake wengi jee inaendana na utu?

Kukeketa mwanamke jee?

Hukumu ya kifo?
 
AshaDii,

AshaDii asante for your insights. I agree with you that definition ya utu differs from society to another and even from one person to another. Kwa mfano wapo wanao- believe kuwa ni utu kumwua mtu aliyeua if certain conditions are met. From war to self-defense to defense of one's belongings to being looked at the wrong way. Lakini wapo wengine ambao wanaamini si utu kumwua mtu aliyeua regardless of the reason ya kuua. Kwa mfano ukiliza ilikuwa utu kumwua Gaddafi, hutapata jibu moja.

But pamoja na kuwa utu una vary from one society to another, does this means that hizi jamii hazina hata some very minimal shared understanding of utu? Kwa mfano South Africa wanatumia neno Ubuntu kama utu. Tukiangalia understanding yao ya Ubuntu inatofautiana sana na utu wetu?

Archbishop Desmond Tutu anatoa definition ya Ubuntu kwenye kitabu chake mwaka 1999:
A person with Ubuntu is open and available to others, affirming of others, does not feel threatened that others are able and good, based from a proper self-assurance that comes from knowing that he or she belongs in a greater whole and is diminished when others are humiliated or diminished, when others are tortured or oppressed."
Tutu alielezea zaidi maana ya ubuntu mwaka 2008
"One of the sayings in our country is Ubuntu – the essence of being human. Ubuntu speaks particularly about the fact that you can't exist as a human being in isolation. It speaks about our interconnectedness. You can't be human all by yourself, and when you have this quality – Ubuntu – you are known for your generosity. We think of ourselves far too frequently as just individuals, separated from one another, whereas you are connected and what you do affects the whole World. When you do well, it spreads out; it is for the whole of humanity."

Mandela nae hakubaki nyuma:


"A traveller through a country would stop at a village and he didn't have to ask for food or for water. Once he stops, the people give him food, entertain him. That is one aspect of Ubuntu, but it will have various aspects. Ubuntu does not mean that people should not enrich themselves. The question therefore is: Are you going to do so in order to enable the community around you to be able to improve?"
Hiyo ya Mandela ipo sana kijijini kwetu. Mtu akiomba maji ya kunywa huwezi kumnyima hata kama umebakiza kikombe kimoja ndani. Sijui kufanya hivyo ni utu? Najua Gaijin atauliza maswali kedekede. lolz
 
Isipokuwa napata tabu kidogo mnapo sema tafsiri ya utu inategemeana na jamii husika.
Mfano hapo kale mfalme akifa anatafutwa kijana wa kumsindikiza na anazikwa akiwa hai kampakata mfalme, na kitendo kile kilitafsiriwa kama ushuja mkubwa kwa kijana na familia yake.
Je huu ni utu kwa jamii ile?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
EMT

Kabla sijaanza masuala mengi, Ubuntu inafanana na Ujamaa kama ilivyoelezwa hapa

Correlation between ‘ujamaa' and ‘ubuntu' In an article titled ‘When integrity falters', Minister of Public Service and Administration, Geraldine Fraser-Moleketi wrote the following about the correlation between the concepts of ‘ujamaa' and ‘ubuntu'.

"……The values of ubuntu and ujamaa inform all of us of our humanity; they tell us that we are human by virtue of the mutual support we give one another. This is the key motive force in our fight against corruption. This is the spirit we have committed ourselves to in order to create a socially cohesive and inclusive Africa that is free of corruption."
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Isipokuwa napata tabu kidogo mnapo sema tafsiri ya utu inategemeana na jamii husika.
Mfano hapo kale mfalme akifa anatafutwa kijana wa kumsindikiza na anazikwa akiwa hai kampakata mfalme, na kitendo kile kilitafsiriwa kama ushuja mkubwa kwa kijana na familia yake.
Je huu ni utu kwa jamii ile?

Most probably not from the view point of the maid/aid who got buried alive!
 
Kimsingi wenye nguvu ndio wanao define morals za jamii husika

Tukiangalia kwenye suala hilo la ushoga kwa mfano au suala la malezi ya watoto. Waafrika tunajinsi yetu ya kulea watoto, lakini Westerners kwa vile wana nguvu wanakuwa na haki ya kutufasiria morals za malez ni zipi na ndipo tunapoanza kubadili namna ya ulezi wetu.

Inaonekana kuwa ni hivyo hivyo kwenye utu.

Naamini hata hapa Bongo wenye nguvu wanaweza kuwa ndio wanao define morals zetu. Lakini sio kazi ya serkali ku-define morals zetu. Hivi hili suala ka katiba mpya halijakaa pia ki-moral au ki-utu? lol. Ni utu kumpa rais madaraka makubwa hivyo kwenye mchakato wa katiba mpya? SI "kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake" kwenye mchakato mzima wa katiba? Yaliyotokea jana bungeni yalizingatia utu? lol
 
Ha ha ha EMT

Na mishahara na posho za wabunge jee zinafuata kanuni za utu wa Mtanzania kweli?
 
Naamini hata hapa Bongo wenye nguvu wanaweza kuwa ndio wanao define morals zetu. Lakini sio kazi ya serkali ku-define morals zetu. Hivi hili suala ka katiba mpya halijakaa pia ki-moral au ki-utu? lol. Ni utu kumpa rais madaraka makubwa hivyo kwenye mchakato wa katiba mpya? SI "kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake" kwenye mchakato mzima wa katiba? Yaliyotokea jana bungeni yalizingatia utu? lol
Ofkoz wenyenguvu ndio wana define morals hapa Bongo
Na kwingineko.
 
Kwa hiyo hapa mkuu unataka kusema zamani tulipotnga hizo sheria utu wetu ulikuwa chini, na sasa tumenyanyua viwango vya utu wetu na tumeamua kujirekebisha?

Before long tutasema tulipozuwia ndoa za jinsia moja ilikuwa ni kinyume na humanity kwa sabau wale pia wana haki ya kutambulika kisheria kama binaadamu wengine wanavyotambulika.

lol. Kama utu unaweza kupanda na kushuka kulingana na mabadiliko yanayotokea kwenye jamii may be miaka ijayo ushoga utakuwa haudhalilishi tena utu wetu wa Kiafrika. Kwamba utu sio static as it may change from time to time.
 
lol. Kama utu unaweza kupanda na kushuka kulingana na mabadiliko yanayotokea kwenye jamii may be miaka ijayo ushoga utakuwa haudhalilishi tena utu wetu wa Kiafrika. Kwamba utu sio static as it may change from time to time.

By the time tunapata vitukuu, ushoga hautakuwa ukidhalilisha utu wa Kiafrika tena.

"tutaongeza uelewa na ufahamu wetu kuhusu utu" and voila, mashoga wanaoana na kuasili watoto
 
Kazi ipo kwenye kutafuta universal definition ya utu.

Bearing in mind pia utu sio static? Umenikumbusha ule usemi: Who might a be terrorist to you, might be a freedom fighter to me.
 
ndetichia,

Azimio Jipya,



Cathode Rays,

Mtazamaji,


EMT nimeona hata nisiende mbali na ni withdraw from the jamii ya JF.... Imagine the above members woote wamechangia na kutoa Concept zao, za how they define Utu... Of course Gaijin is asking a lot of serious questions but hayo maswali yametoa majibu mengi saana. Nimejaribu kusoma na kuangalia exactly how anaweza i-define but unfortunately sijampata vizuri... Hizi comments za watu ndo hasa zimechangia niweze jibu hio post yangu nilivo jibu, for as i was reading i was involuntary siphorning information and by the time nimemaliza nataka comment.... It was useless for i have to declare that I know maybe i would have answered differently had i not read the comments from other members and the answers to Gaijins questions.

On the basis of the above edited posts... Ndo hapo inatupa picha why Desmond, Ubuntu and Mandela would have different words defining "utu" but when observed closely you note that they are indeed in the same lines...

AshaDii asante for your insights. I agree with you that definition ya utu differs from society to another and even from one person to another. Kwa mfano wapo wanao- believe kuwa ni utu kumwua mtu aliyeua if certain conditions are met. From war to self-defense to defense of one's belongings to being looked at the wrong way. Lakini wapo wengine ambao wanaamini si utu kumwua mtu aliyeua regardless of the reason ya kuua. Kwa mfano ukiliza ilikuwa utu kumwua Gaddafi, hutapata jibu moja.

But pamoja na kuwa utu una vary from one society to another, does this means that hizi jamii hazina hata some very minimal shared understanding of utu? Kwa mfano South Africa wanatumia neno Ubuntu kama utu. Tukiangalia understanding yao ya Ubuntu inatofautiana sana na utu wetu?


Now thats the thing Pal.... Ndo maana unaona kua definition ya "Utu" iko na close relationships za Morals na norms ya jamii husika... Kile ambacho is considered proper... Unakuta woote hao walo define "Utu" ulo wa quote na nilowa-quote yoote inaangukia katika being good and better people to one another... Kama vile in other words kua ukifanya kitu ama mfanyia mtu kitu "Put your self in their shoes" kwanza and ask if you radher do what you intend kwako pia... Hii ndo inafanya iwe confusing.... Other people are emotionally stronger than others... Mmoja aweza fanyiwa kitu akaumia zaidi na kuona hajatendewa Utu na hapo hapo mwingine akapotezea na kuona it is not a big deal!
 
Isipokuwa napata tabu kidogo mnapo sema tafsiri ya utu inategemeana na jamii husika.
Mfano hapo kale mfalme akifa anatafutwa kijana wa kumsindikiza na anazikwa akiwa hai kampakata mfalme, na kitendo kile kilitafsiriwa kama ushuja mkubwa kwa kijana na familia yake.
Je huu ni utu kwa jamii ile?

Mkuu hii haina tofauti na kukeketwa. Kwako unaweza usione kama ni utu lakini wanaofanya hivyo wanaona utu.
 
ETM na Gaijin sheria zimabadli kabisa maana ya utu, narudia tena si kila sheria au haki ni utu, kinacho tutofautisha na wanyama ndio utu wetu, utu anaostahiki mtu wa usa ndio anastahiki mtanzania, kuna baadhi ya watu wanageuza matakwa yao binafsi(kama ushoga)kuwa eti haki za msingi na ni utu
 
Back
Top Bottom