Mkuu kutaka uchaguzi ufanyike ni ndani ya utu kwasababu ni misingi ya demokrasia na haki ya mpiga kura ama "rights" za watu hao wapiga kura.Asante Mkuu kwa mchango. Vipi hii ya mbunge na wapiga kura wake? Wapiga kura wake watakuwa hawana utu (hawa-act kama mtu) kama wakitaka ufanyike uchaguzi mwingine ili wamchague mbunge mwingine atakayeweza kuwawakilisha?
Binadamu hujitofautisha na mnyama kwa kule kuthamini utu na kutenda matendo yenye heshima mbele ya binadamu wengine kwa jinsi ambavyo yeye (binadamu) anavyotaka athaminiwe kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kimaumbile.
Naandika mtazamo wa kisaikolojia kwa vile wananchi wengi tumepoteza haiba ya utu na heshima wetu, yaani upendo, kujali na huruma! Binadamu tuna wajibu wa kiutu kuwa na upendo, huruma na kuwajali watu wengine kwa jinsi ya ubinadamu
By Fe Lady Labda tutambue wakati wa serikali ya Sumaye tatizo la ajira lilikuwaje,ilipokuja serikali ya Lowasa lilipungua?Now Pinda Limeongezeka?LOWASA Anatafuta sababu,alifanya nini kucreate ajira?
By MZALAMO
Lowasa ni tatizo kubwa sana katika jamii ya kitanzania kuliko hata kikwete!
By Noti mpya tz Huyu kaamua atoke na issue ya vijana anadhani itampeleka ikulu kweli watanzania tunayo kazi sitarajii huyu jamaa kuungwa mkono na vijana maana ameshiriki kuwatesa na sasa anataka kuwatumia atimize malengo yake
By Melanoxylon Ajira kwa vijan kwani yeye ndo kaona tatizo leo? Ninavyofaham yeye kama mwkilishi wa wananchi ameishauri nini serikari au hata raisi rafiki yake. Nothing wizi tu... What a prezda fisad aiyekuwa na aibu. With me mchango wake tumeupokea but for u prezda ashindwe kwa jina la yesu
By MPIGA ZEZE
Yes, Man Made Money and, in turn, Money Made Man Mad! Kama poor peasants wanavyokiwezesha Chama Cha Magamba kuendelea kuwa madarakani kwa pupewa kofia, kanga, fulana, na ubwabwa, ndicho hiki tunaanza kukiona kwa Kanisa Katoliki (kanisa lenye heshima kubwa duniani) kutaka kutumiwa kama kondomu kwa sababu ya "Money"!!!! Kanisa Katoloki limegeuka kuwa kichaa. Shame on you!!!
By Zion Daughter Hatudanganyiki!!!
Hii ni muhimu sana!! ... Nafikiri itatekelezwa!!Watanzania tuwe macho na hili fisadi papa!
Azimio jipya hebu nieleze kwa malezo mafupi Utu ni nini? Unatokana na nini? na Unapimwaje?
Hapo itabidi uwaulize wenye dini. lol. Kwenye kitabu cha Chachage na Cassam titled: African Liberation: The Legacy of Nyerere at page 51 wanasema: "Ujamaa embraced aspects of the Swahili concept of utu or common humanity (or Ubuntu as is called in South Africa). This [utu] is based on the philosophy of forgiveness, reconciliation and willingness to share." Tunaweza ku-define utu kama kusameheana, kusuluhishana na kusaidiana? Japokuwa wapo wengine watasema utu simply mean Uhuru Through Ujamaa. lol
Utu ni zaidi ya sheria inavyo weza kutafsiri, utu ni namna mtu anavyoweza kutendea wenzake kwa kadri ya matarajio ya jamii husika inavyotarajia binadamu wa kawaida kufanya
]
Asante Mkuu kwa anaylisis yako nzuri. Hapo kwenye red wapo wanaosema kuwa law is based on humanity. Kwa mfano, kuna even sheria za crimes against humanity.
Ni kweli wakuu kuwa Laws zimewekwa ili watu waweze kuishi kwa utu, na karibu makosa yote ya jinai ni yale yanayohusu ukosefu wa utu.Iwapo utu ni zaidi ya sheria inavyoweza kutafairi, tunaweza kumshitaki mtu kwa kosa la ukosefu wa utu?
Ni kweli wakuu kuwa Laws zimewekwa ili watu waweze kuishi kwa utu, na karibu makosa yote ya jinai ni yale yanayohusu ukosefu wa utu.
Lakini kuna ukosefu mwingine wa utu haujatafsiriwa na sheria kama makosa ya jinai, mfano wa FF na anayedai mbunge atimuliwe kwa ugonjwa.au sakata la miss voda na meli kuzama nk, inatofautiana uzito tu
Na si wakati wote sheria zinasimamia utu, na ndio maana kuna wanaharakati wanapinga baadhi ya sheria kwakuwa zipo kinyume na utu(humanity)
Iwapo utu ni zaidi ya sheria inavyoweza kutafairi, tunaweza kumshitaki mtu kwa kosa la ukosefu wa utu?
Mkuu Gaijin, naomba nisikujibu moja kwa moja ila niulize swali ili litujengee uelewa mpana zaidi
Kwa nini sheria zipo? Je si ili kulinda "utu" wa wananchi/wanajamii wa nchi/jamii husika?
hebu tusaidiane mtazamo hapo kwanza ndiyo tuone tunachukua njia gani katika kuamini hili
Asante Mkuu kwa anaylisis yako nzuri. Hapo kwenye red wapo wanaosema kuwa law is based on humanity. Kwa mfano, kuna even sheria za crimes against humanity.
Mkuu natumaini katika hili la mbunge zipo taratibu zimezingatia utu, kuwa akifikia hatua fulani basi kibinadamu hawezi tena kuendelea kuwa mbunge, sasa anapokuja mtu na kuanza kukejeli kwa ushabiki wa kisiasa kuwa atolewe tu kwasababua anaumwa si sahihi na haionyeshe ule ubinadamu kuwa huyu ni mtu kama yeye anapigania kupona na pindi ukishindikana kwa mujibu wa taratibu ataachia ubunge.Tatizo linakuja kuwa vitu visivyoweza kutafairika kisheria vinaacha uwanja mpana wa kila mtu kufikiri anavyotaka yeye
Kwa mfano kesi ya Mbunge. Mimi sioni kuwa ni ukosefu wa utu kumlazimisha ajiuzulu maadam anashindwa kufanya kazi yake tuliyomuajiri.
Badala yake kama kuna ukosefu wa utu basi ni kwa kuwaacha wananchi kukosa mwakilishi bungeni kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa
Mkuu natumaini katika hili la mbunge zipo taratibu zimezingatia utu, kuwa akifikia hatua fulani basi kibinadamu hawezi tena kuendelea kuwa mbunge, sasa anapokuja mtu na kuanza kukejeli kwa ushabiki wa kisiasa kuwa atolewe tu kwasababua anaumwa si sahihi na haionyeshe ule ubinadamu kuwa huyu ni mtu kama yeye anapigania kupona na pindi ukishindikana kwa mujibu wa taratibu ataachia ubunge.
Nadhani ni vigumu kusema sheria kazi yake kulinda utu iwapo hatuwezi hata kuueleza utu ni nini. Kwa sababu tunaposhindwa kufasiri utu basi na sheria lazima itashindwa kuulinda
Chukua kesi ya FaizaFoxy kwa mfano; alichokifanya si makosa kisheria licha ya kuwa ameonekana kukosa utu.
Kwenye blue, mkuu dont complicate issues, utu ni kwa mujibu wa sisi binadamu kwa yale tuanayoyafanya na tunayofanyiwa na yakakubalika na jamii, utu ni nature huitaji kuwa na source mkuu, ninapo umwa kwa hali ya kawaida nategemewa kupona, hivyo kuna grace period ya kusubiria au daktari athibitishe vinginevyo kuwa huwezi tena kuendelea na position hiyo, sasa ukiumwa malaria kesho na mwingine anaweza kuja na hoja kama zako akaona wewe kuumwa wiki moja ni nyingi na akataka uchaguzi uitishwe kama wewe ulivoona mwaka ni mwingi.Hizo taratibu zimezingatia utu kwa mujibu wa nani? Kwangu mimi kwa mfano utu wangu ningeona nimpe mwaka mmoja kama hajapona uchaguzi ufanyike achaguliwe mwengine; wakati taratibu zimekuwa labda niseme na utu mwingi kuliko mie na kutoweka kikomo cha muda wa ugonjwa unaokubalika kisheria.
Hapa ndipo tunapokabiliana na uwanja mpana wa tafsiri kulingana na matukio na nani mwenye ku-impose tafsiri ya utu kwenye tukio husika